Nani ana gharama zaidi? Fast jet ni shs 334,000-466,000 na Airtanzania ni shs 324,000- 664,000 kwenda Mwanza na kurudi

Air Tanzania tutajieni NAULI!

Msitutajie NAULI ELEKEZI!

Nyinyi ndio serikali, huduma mnauza nyinyi, nauli elekezi mnamuelekeza nani?
Mkuu nauli za ndege zinategemea unasafiri lini na hii sio kwa ATCL tu ni utaratibu wa usafiri wa anga. Ukitaka kusafiri leo ukanunua tiketi leo sio sawa na anaesafiri mwezi ujao akakata tiketi leo.

Bei elekezi sio kitu cha ajabu kwasababu huduma inatofautiana. Hivi Fastjet ina classes(first,business,economy)?
 
Walalahoi Huwa hawapandi ndege wewe acha uzushi.
 
Air Tanzania tutajieni NAULI!

Msitutajie NAULI ELEKEZI!

Nyinyi ndio serikali, huduma mnauza nyinyi, nauli elekezi mnamuelekeza nani?
Nauli inategemea factors nyingi sio kama daladala kuna low Na high season , exchange rate variation nk huwezi weka fixed specific
 
Wewe muda wote upo JF kazi hufanyi umekalia majungu!! Utapata wapi pesa ya kupanda Dreamliner??!!
Bichwa kubwa akili tope.Na wew uko wapi hapa.Huwez kujua mtu anashinda JF bila kuwa humu.Acha ujinga
 
fanyeni utafiti kabla ya kusemaView attachment 807476
Mkuu kwa bei hizo tutatengeneza faida kweli? Ningeshauri Dreamliner ingeanza na route ya DAR - BEIJING AU SHANGHAI AU GUANDZOU moja kwa moja angalau mara tatu kwa wiki. Ile ya BEIJING-DAR ipitie KIA. Tukishajikita hivyo tununue ya pili ili tuwe na Daily flghts. Kupeleka Dreamliner Mwanza ni hasara. Embraer ingekuwa kidogo afadhali! Ni maoni yangu tu!
 
Mkuu kuna mabasi ya luxary, semi luxury na kawaida hata ndege ni hivyo hivyo lazima bei zitofautiane
 
Nmemwelewa leo pilot alo ileta dreamliner 787 kasema mengi clouds kwenye kipindi cha 360 asbuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…