Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Acha waandae wahalifu wa kutosha na hawataweza wadhibiti,usishangae vyombo vya usalama vikaungana na wachomewa vibandaRecently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
Itafahamika tuSerikali ni genge la wahuni "discuss
Mwenge kwa mujibu wa Rpc Kinondoni ni Shoti ya umemeRecently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
Recently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
Magaidi badala ya kuchoma vituo vya mafuta sasa wameapa kuchoma masoko.Recently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
wafuasi wa mboe lazima wachunguzwe.Recently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
MamlakaRecently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
Sirikali sana hii lakini iliyofichwa kwenye jumba la vioo tupu halafu sio tinted [emoji23]Recently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
Kula gadi. Usiku usitoke. Jifunike blanketi wasikuone, umuone mbaya wako?
Duh! Serikali ya MAMA inakera zaidi ya ile serikali ya Marehemu MAGU. Ndio maana hata viongozi wa mtaa wakiitisha mkutano wao wa hadhara huwa naona Bora niendelee tu kulala, Hasa nikikumbuka kuwa WALIPITA BILA KUPINGWA yaani kwa HONGO KALI.Recently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .