Nani anafaa kuwa man of the match kwenye game ya leo kati ya Tanzania na Uganda?

Nani anafaa kuwa man of the match kwenye game ya leo kati ya Tanzania na Uganda?

Huyo hapo
IMG-20190324-WA0022.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msuva nae yupo vizuri anatendea haki nafasi yake ya kuchezea kilabu chake cha kulipwa
 
aliyesema bia zitakuwa nusu bei after victory
 
Mechi ya Leo Hamna cha man of the match mpira umechezwa wa kawaida
Man of the match yupo cape Verde [emoji1065][emoji1065] huko

Sichenji buku kwa njaa ya siku moja
Nani sasa huko?
 
Mechi ya Leo Hamna cha man of the match mpira umechezwa wa kawaida
Man of the match yupo cape Verde [emoji1065][emoji1065] huko

Sichenji buku kwa njaa ya siku moja
Kwa hyo leo huchenji buku kwa bia za siku moja?? hahahah
 
Back
Top Bottom