Makombora kwa lipi jimbo lilishakua wazi muda tuNaona jimbo linatafutwa kwa nguvu za giza, jamaa anavurumusha makombora
Bomaye! Yebo 😂MAKONDA BOMAYE
Kufa kufaana walisemaga wazeeDaaah watu mnawaza Jimbo tu
Unawaza uongozi hata marehemu hajaoshwa. Dah kweli binaadam muogopeWana Kigamboni tufanye Jambo moja tu. Kura zote kwa Komredi DAB
watu hawajainua matanga mnaanza kuleta ajenda zenu?Wana Kigamboni tufanye Jambo moja tu. Kura zote kwa Komredi DAB
Acha wauane Kabisa waishe wote Yani CCM ningeweza nikaandika waraka wangu kwa Mungu ningeomba awafute wote kwenye Uso wa Dunia yakeNaona jimbo linatafutwa kwa nguvu za giza, jamaa anavurumusha makombora
Kuna mambo yanahuzunisha mno.Ndugulile alipopata Kazi UN tayari Jimbo lilikuwa Wazi Kwa Uchaguzi wa 2025