Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Wachawi wapo kila mahaliDuh!watu mko serious sana
Yaani kiufupi hamna muda wakupoteza🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachawi wapo kila mahaliDuh!watu mko serious sana
Yaani kiufupi hamna muda wakupoteza🤔
Wachawi mmejionyesha mapemaaWana Kigamboni tufanye Jambo moja tu. Kura zote kwa Komredi DAB
Ubinadamu kazi. Anyway hata hivyo Bashite hili Jimbo alishaanza kulitolea mate muda mrefuWana Kigamboni tufanye Jambo moja tu. Kura zote kwa Komredi DAB
ccm hawanaga utu ni akina mane monga, wachawi na wanafikiSerious??? Unawaza haya? Muwe mnafikiria hata kama mtu katangulia. Ana familia, ndugu, jamaa na marafiki anaowaacha. Mbona mapema sana. Na umechukua, maoni ya watu wote Kigamboni? Wengine hatutaki. Halafu acha utoto, hii siyo sifa acha watu wazike kwanza.
Wana Kigamboni tufanye Jambo moja tu. Kura zote kwa Komredi DAB
ambaye hayuko na lake halipoUnawaza uongozi hata marehemu hajaoshwa. Dah kweli binaadam muogope
Na jimbo lilishakua wazi mapema tokea apate cheo cha WHO kwahio hamna cha ajabuWachawi mmejionyesha mapemaa
Hata kama aiseeWachawi wapo kila mahali
CCM mna roho mbaya sana. Ndugulile hajaingia hata kaburini mmeshaanza kugombania jambo!! Pambaf kabisa.Wana-Kigamboni tufanye Jambo moja tu. Kura zote kwa Komredi DAB
Kuhusu kifo cha mbunge wa Kigamboni, soma TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile afariki Dunia
Ukweli wengi hamjui kinachoendelea, Ndugulile alishaachana na maccm toka alipochaguliwa kuwa mkurugenzi wa WHO Kanda ya Africa. Wadhifa ambao angeanza kuutumikia March 2025. Hivyo angejiuzuru ubunge na kuhamia huko HQ Africa ya kati.Makonda njia nyeupeeee.Kweli nimeamini kila jambo na wakati wake.
Watu mna roho mbaya sana, marehemu hata hajazikwa tayari mnaongelea kampeni katika jimbo lake!.Wana-Kigamboni tufanye Jambo moja tu. Kura zote kwa Komredi DAB
Kuhusu kifo cha mbunge wa Kigamboni, soma TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile afariki Dunia
Mashetani kabisa.Unawaza uongozi hata marehemu hajaoshwa. Dah kweli binaadam muogope
Wana-Kigamboni tufanye Jambo moja tu. Kura zote kwa Komredi DAB
Kuhusu kifo cha mbunge wa Kigamboni, soma TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile afariki Dunia
Makonda hawezi kushinda uchaguzi kigamboni , anaweza kugombea Mbagala.Wana-Kigamboni tufanye Jambo moja tu. Kura zote kwa Komredi DAB
Kuhusu kifo cha mbunge wa Kigamboni, soma TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile afariki Dunia
Hakuna aliefurahia kifo chake.Kumbuka kafa akiwa mbunge.Hiyo ndo point.Mambo ya ange ange hayanaga uhakakika.Uhakika ni kwamba alikuwa Mbunge wa Kigamboni mpaka kifo chake kilipompata.Ukweli wengi hamjui kinachoendelea, Ndugulile alishaachana na maccm toka alipochaguliwa kuwa mkurugenzi wa WHO Kanda ya Africa. Wadhifa ambao angeanza kuutumikia March 2025. Hivyo angejiuzuru ubunge na kuhamia huko HQ Africa ya kati.
Sass nashangaa mnafurahi eti amefariki kaachia jimbo kwa huyo muuwaji wa Lissu.
Mngefurahi alipochaguliwa kuwa mkurugenzi wa WHO maana ndo ticket ya kuaçha ubunge ili mumpe dab.