Pre GE2025 Nani anafaa kuwa mbunge wa Kigamboni baada ya kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile?

Pre GE2025 Nani anafaa kuwa mbunge wa Kigamboni baada ya kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata mwili haujapandisha kwenye cargo flight, tayari mnawaza kurithishana. Kuweni na huruma.
 
kwa tanzania kila kitu kinawezekana, rejea msiba wa mzilankende kwa mujibu wa jenerali mstaafu..
 
Humo ccm inaonesha wanalogana sana bila chenga ni chama kimejaa laana
 
Hamna la ajabu maana watu siku hawana utu,kila mahali watu wanafundishwa namna ya kutafuta hela tu.
 
Mshaanza kugawana mapema😳😳.ccm kweli noma.subirini azikwe kwanza.japo siwakubali ccm ila sio sawa mnavyofanya
 
Wanasiasa woote bongo ndio wale wale tu, kila mmoja ni mchumia tumbo, maslahi yake kwanza, wananchi yenu yatakuja baadae.
 
Makonda Mbunge wa Kigamboni na Waziri Mkuu - 2025 - 2030

Rais wa Tanzania - 2030 - 2060
 
Nitoe pole kwa wafiwa kwa kumpoteza mtu muhimu dkt. Faustine ndugulile.

Hakika hiki kifo na mimi kimenistua na kunihuzunisha. Mbuge wa kigamboni tangulia nasi tuko nyuma yako.

Sasa jimbo la kigamboni litakuwa wazi, naiona nafasi ya makonda kwenda kuwa mbunge wa kigamboni.

2020 paul makonda alishika nafasi ya pili kwenye kugombania ubunge wa kigamboni.

Je ataacha ukuu wa mkoa?, tusubiri wakati.
 
Nitoe pole kwa wafiwa kwa kumpoteza mtu muhimu dkt. Faustine ndugulile.

Hakika hiki kifo na mimi kimenistua na kunihuzunisha. Mbuge wa kigamboni tangulia nasi tuko nyuma yako.

Sasa jimbo la kigamboni litakuwa wazi, naiona nafasi ya makonda kwenda kuwa mbunge wa kigamboni.

2020 paul makonda alishika nafasi ya pili kwenye kugombania ubunge wa kigamboni.

Je ataacha ukuu wa mkoa?, tusubiri wakati.
Ndugu hakuna uchaguzi utafanyika kwa sasa sheria hairuhusu... jimbo litabaki wazi hadi mwakani. Ingekuwa ni zaidi ya mwaka mmoja hadi uchaguzi mkuu ufike... nafasi ingejazwa sasa
 
Back
Top Bottom