Nani anafaa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu baada ya Zuhura Yunus kuondolewa?

Nani anafaa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu baada ya Zuhura Yunus kuondolewa?

Samia anapenda sana kusifiwa kimataifa. Msemaji wa serikali ajikite na mambo ya ndani na mkurugenzi wa Ikulu ajikite kwenye mambo ya nje. Kikeke alishindwa vetting ya kuwa msemaji wa serikali kutokana na utoto wake/bitozi. Kuna mtu leo alisema tweeter kuwa Samia anamtafuta mkurugenzi wa kumsaidia na uchaguzi mwakani na akasema Samia ameshauriwa msemaji mkuu wa serikali apelekwe Ezekiel Kamwaga na Ikulu Erick Kabendera ambao waliongoza timu ya mawasiliano ya Samia/Magufuli 2015.
 
Samia anapenda sana kusifiwa kimataifa. Msemaji wa serikali ajikite na mambo ya ndani na mkurugenzi wa Ikulu ajikite kwenye mambo ya nje. Kikeke alishindwa vetting ya kuwa msemaji wa serikali kutokana na utoto wake/bitozi. Kuna mtu leo alisema tweeter kuwa Samia anamtafuta mkurugenzi wa kumsaidia na uchaguzi mwakani na akasema Samia ameshauriwa msemaji mkuu wa serikali apelekwe Ezekiel Kamwaga na Ikulu Erick Kabendera ambao waliongoza timu ya mawasiliano ya Samia/Magufuli 2015.
Kuna ubaya akichukuliwa Dr Ryoba?
 
Samia anapenda sana kusifiwa kimataifa. Msemaji wa serikali ajikite na mambo ya ndani na mkurugenzi wa Ikulu ajikite kwenye mambo ya nje. Kikeke alishindwa vetting ya kuwa msemaji wa serikali kutokana na utoto wake/bitozi. Kuna mtu leo alisema tweeter kuwa Samia anamtafuta mkurugenzi wa kumsaidia na uchaguzi mwakani na akasema Samia ameshauriwa msemaji mkuu wa serikali apelekwe Ezekiel Kamwaga na Ikulu Erick Kabendera ambao waliongoza timu ya mawasiliano ya Samia/Magufuli 2015.
Naichukua na kuihifdhi hii comment yako, acha muda uongee.
 
Back
Top Bottom