Nani anafaa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu baada ya Zuhura Yunus kuondolewa?

Nani anafaa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu baada ya Zuhura Yunus kuondolewa?

Anatakiwa mtu anayejuana na media za Tanzania vizuri
Msigwa Yuko vizuri

Zuhura Yunus was a foreigner na ki ukweli sio mtanzania alizaliwa uingereza na sijui kama alishawahi kuukana uraia wa uingereza alipofikisha miaka 18
Kwaiyo tusadiki maneno ya CDF kuwa Kuna wageni wamepewa nyadhifa nyeti serikalini!!!
 
Kwaiyo tusadiki maneno ya CDF kuwa Kuna wageni wamepewa nyadhifa nyeti serikalini!!!
Acheni ujinga. Ugeni na Utanzania mavi ya kale. Cha muhimu mtu ana weledi wa kutosha? Ndivyo Waarabu wa Gulf walivyoendelea. Hawakujali uraia wa mtu akama anajua kazi. Samia na alete Mkenya amsaidie. At least, atakuwa na Kiswahili kizuri kuliko Mbongo!
 
Kwa sababu kazi za siku hizi hazitolewi kwa weledi bali umaarufu wa jina na uchawa basi amteue Diamond au Babalevo nafasi hiyo na watafanya vyema kwa hilo lengo la kusifiana
Nchi hii haiishi vituko, unaeeza sikia paa mwijaku, akisaidiana na baba levo ndio wasemaje!! Nchi hii wenye uwezo hawana exposure, wenye exposure hawana uwezo bali ni uchawa tu.
 
Kikeke kaacha vichapizi? Huwa anaandika haraka haraka kama anafukuzwa na tatizzo lake akiandika ahakiki alichoandika anakuwa kama anaharaka... Bbc nilikuwa sielewi au UK ni speedy speedy gonzalez enh
 
Kwa maoni yangu, hulka ya huyu mama yetu kipenzi inaendana na Maulid Kitenge au Mwijaku. Amteue mmoja kati ya hawa vijana kuja kuchukua kitengo.

Haya ni maoni yangu japo sipendezwi na mambo yao lakini naona wanaendana na falsafa za mama yetu kipenzi.
 
Back
Top Bottom