The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Huyu bwana simfahamu ila nimekuwa namfuatilia mara nyingi akitoa speech zake Kwa waandishi wa habari akielwzea masuala mbalimbali yanayoendelea kuhusu Mahakamani ya Tanzania.
Licha ya kwamba huyu ni Profesa ila anatumia Lugha rahisi kabisa na ni mahiri sana wa kujenga hoja na kuiwasikisha Kwa Lugha simple na Kwa wajihi mzuri kiasi Kila mtu anamuelewa.
Nadhani Serikali imchukue huyu badala ya huyu Makoba .
Msikilize hapa 👇👇
View: https://youtu.be/lnUPUyvaidU?si=FWdAt-bQnEEewbxz
Licha ya kwamba huyu ni Profesa ila anatumia Lugha rahisi kabisa na ni mahiri sana wa kujenga hoja na kuiwasikisha Kwa Lugha simple na Kwa wajihi mzuri kiasi Kila mtu anamuelewa.
Nadhani Serikali imchukue huyu badala ya huyu Makoba .
Msikilize hapa 👇👇
View: https://youtu.be/lnUPUyvaidU?si=FWdAt-bQnEEewbxz