moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Dr Ryoba ni mstaafu.Kuna ubaya akichukuliwa Dr Ryoba?
Tafuta mvulana mwenye ndoto za kufika mbali kama Msigwa apige kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr Ryoba ni mstaafu.Kuna ubaya akichukuliwa Dr Ryoba?
Sahivi nafasi nyingi ni ajili ya watu wa IjumaaPDF mmelishuhudia bibie Zuhra OUT. Sasa ni zamu ya Kikeke.
Pia soma
Anatakiwa mtu anayejuana na media za Tanzania vizuriAnaweza akarudishwa Mwamba Mzee wa Ufafanuzi Gerson Msigwa. Au makonda
Duh!Anatakiwa mtu anayejuana na media za Tanzania vizuri
Msigwa Yuko vizuri
Zuhura Yunus was a foreigner na ki ukweli sio mtanzania alizaliwa uingereza na sijui kama alishawahi kuukana uraia wa uingereza alipofikisha miaka 18
Huyo wa kwanza uhakika...Hapo kuna wawili;
© Machumu (mwananchi newspaper)
© Kikeke (crown radio)
Machumu karibuHuyo wa kwanza uhakika...
Amesha aga huko mcl...
😒PDF mmelishuhudia bibie Zuhra OUT. Sasa ni zamu ya Kikeke.
Pia soma
Apewe Lucas Mwashambwa anajua kusifia hadi anapitiliza labda shule ndiyo itamuangusha,lakini jamaa anajua kujitoa ufahamu katika kusifia.Samia anapenda sana kusifiwa kimataifa. Msemaji wa serikali ajikite na mambo ya ndani na mkurugenzi wa Ikulu ajikite kwenye mambo ya nje. Kikeke alishindwa vetting ya kuwa msemaji wa serikali kutokana na utoto wake/bitozi. Kuna mtu leo alisema tweeter kuwa Samia anamtafuta mkurugenzi wa kumsaidia na uchaguzi mwakani na akasema Samia ameshauriwa msemaji mkuu wa serikali apelekwe Ezekiel Kamwaga na Ikulu Erick Kabendera ambao waliongoza timu ya mawasiliano ya Samia/Magufuli 2015.
Mmeshaujua udhaifu wake, akisoma tu humu anamteua Ili kumfurahisha mtoa hoja. Akisoma tu atamteuaPDF mmelishuhudia bibie Zuhra OUT. Sasa ni zamu ya Kikeke.
Pia soma
Hana lolote huyo KikekePDF mmelishuhudia bibie Zuhra OUT. Sasa ni zamu ya Kikeke.
Pia soma
Au Steve Nyerere?Jerry Muro anafaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿
The hidden truth.Sahivi nafasi nyingi ni ajili ya watu wa Ijumaa
Sidhan kama hicho cheo nichakidini yaan wyoke Zuhura aje Salim?PDF mmelishuhudia bibie Zuhra OUT. Sasa ni zamu ya Kikeke.
Pia soma
Jerry ni perfect candidateJerry Muro anafaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿