Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,438
- 826
Kwa kuwa nchi yetu sasa hivi ni kokoro, acha yeyote kati yao awe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama Top mwenyewe anataka CHAWA nani wa kumbishia?Ikulu ni taasisi sio mahali pa uchawa.
wapo watu wenye taaluma hiyo na hawavumu lakini wamo wana utulivu wa akili. Sasa hawa wanavuma sana hasa kwa uchawa wao ya nini kupendekeza wapuuzi hao kwenda ikulu? Hao mavuvuzela labda yakawe simba na yanga huko yatafaa kwenda kuongoza idara za habari za timu hizo zenye utani wa jadi, sio ikulu, ikulu ni sehemu takatifu hakuna mizaha hukoKwa maoni yangu, hulka ya huyu mama yetu kipenzi inaendana na Maulid Kitenge au Mwijaku. Amteue mmoja kati ya hawa vijana kuja kuchukua kitengo.
Haya ni maoni yangu japo sipendezwi na mambo yao lakini naona wanaendana na falsafa za mama yetu kipenzi.
Dotto magari anafaa zaidi jump jump no position na hapa ipo? Hata Juma lokole.Nafikiri Kingwendu angefaa zaidi!
Kama vipi? Watu kuambiwa hadharani wafanye ubadhirifu kwa urefu wa kamba zao ama?!!Msipende kufanya mzaha kwenye vitu serious.
Huna kazi wewe.Kwa maoni yangu, hulka ya huyu mama yetu kipenzi inaendana na Maulid Kitenge au Mwijaku. Amteue mmoja kati ya hawa vijana kuja kuchukua kitengo.
Haya ni maoni yangu japo sipendezwi na mambo yao lakini naona wanaendana na falsafa za mama yetu kipenzi.
Hebu acheni kuidharau serekali kiasi hicho. Au mnafikiri hamuwezi kudakwa na huu ujinga wenuKwa maoni yangu, hulka ya huyu mama yetu kipenzi inaendana na Maulid Kitenge au Mwijaku. Amteue mmoja kati ya hawa vijana kuja kuchukua kitengo.
Haya ni maoni yangu japo sipendezwi na mambo yao lakini naona wanaendana na falsafa za mama yetu kipenzi.
Kafulila ni sawa kabisaIle IKULU inataka mwanasiasa 100%
Kafulila is the most,
Wewe ndo unafaaPDF mmelishuhudia bibie Zuhra OUT. Sasa ni zamu ya Kikeke.
Pia soma
Hivi hii nafasi mnaidharau kiasi hiki? Konda?Anaweza akarudishwa Mwamba Mzee wa Ufafanuzi Gerson Msigwa. Au makonda