Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hawaitwi wasaliti bali wanaitwa COVID-19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli lakini approach waliyotumia uongozi wa cdm kushughulikia jambo hili sio sahihi. Kwa hiyo hata hayo maamuzi ya kamati kuu ya cdm yamefanyika kwa kuzingatia kauli walizozitoa kwa umma kabla baada tu ya tukio la kuapishwa wabunge wa viti maalum kupitia cdm, hivyo wasingeweza kubatilisha kauli zao. Kwa mwenendo huu cdm itakuwa ngumu kushika dola kwa sababu kila wakati wao ni kufukuzana bila utaratibu. Cdm imewekeza rasilimali fedha na muda mrefu sana kuwajenga kiuongozi kwa ajili ya kusimamia taasisi katika kufikia lengo lililokusudiwa halafu kabla ya kufikia engo unafukuza na kuanza upya. Sidhani kwa approach hii kama utaweza kufikia lengo.Sidhan kama itabadili kitu. Sidhani hata kama CCM wanachama wake wangefanya walichofanya, nao wangevumiliwa. Taasisi yoyote ina misingi yake, kwenda kinyume lazima uondolewe. Hata CCM wapo ambao waliondolewa kwa kwenda kinyume na taratibu za CCM. Kimsingi kwa maoni yangu, kama kweli CDM haikuwapa baraka, walipaswa kweli kuondolewa.
Wanawake kama wewe mngekuwa chadema huenda chadema ingeshakufa muda mrefuInabidi awekwe mwanaume kusimamia Bawacha maana maamuzi ya wanawake hayathaminiwi Chadema..
Apewe Upendo PenezaCdm Ina hazina mpya tele. Apewe Yosta Komba
Kama mkuu alivyosema 'isingekua ni mambo ya ku-balance gender makamu wangu wa rais ningemchagua Mwinyi'.Inabidi awekwe mwanaume kusimamia Bawacha maana maamuzi ya wanawake hayathaminiwi Chadema..
Ndio huko CCM muwachukue sasa hao wakina Mdee,muwafundishe namna ya kushika dola.Ni kweli lakini approach waliyotumia uongozi wa cdm kushughulikia jambo hili sio sahihi. Kwa hiyo hata hayo maamuzi ya kamati kuu ya cdm yamefanyika kwa kuzingatia kauli walizozitoa kwa umma kabla baada tu ya tukio la kuapishwa wabunge wa viti maalum kupitia cdm, hivyo wasingeweza kubatilisha kauli zao. Kwa mwenendo huu cdm itakuwa ngumu kushika dola kwa sababu kila wakati wao ni kufukuzana bila utaratibu. Cdm imewekeza rasilimali fedha na muda mrefu sana kuwajenga kiuongozi kwa ajili ya kusimamia taasisi katika kufikia lengo lililokusudiwa halafu kabla ya kufikia engo unafukuza na kuanza upya. Sidhani kwa approach hii kama utaweza kufikia lengo.
Hiloooo! Mmeaibika sana nyie watu. Serikali ya chama cha pinduzi inajihusisha na kuiba na sasa inagushi nyaraka?Inabidi awekwe mwanaume kusimamia Bawacha maana maamuzi ya wanawake hayathaminiwi Chadema..
Waambie mchezo umeisha.Subiri press ya Mdee j2
pole sana umeongea kwa uchungu na wivu pamojaSisi ya kwetu tumemaliza , hayo mengine hayatuhusu , yeye ajipigie tu hizo mil 600
Fraga wa Simba ana uzuri gan kweny sokaBawacha ni kama Brazil kwenye soka kila mtu yuko vizuri
Atahubia UWTSubiri press ya Mdee J2
Pole kwa kuteseka dada yanguWasaliti gani waliotimuliwaaa.hajatimuliwa mtuu, ingawaje unapanga mke wako ndo ashike hiyo nafasiiii. Hao wanawake wameonewaa
Wewe...Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .
Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.
Natanguliza Shukrani.
Nadhani wewe unafaa.Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .
Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.
Natanguliza Shukrani.