Nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA baada ya Viongozi kutimuliwa?

Nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA baada ya Viongozi kutimuliwa?

Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Upendo Peneza
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Suzana Kiwanga (mwenyekiti)
Catherine Ruge (Katibu)
Upendo Peneza(Katibu msaidizi)
Miss Komba
Devonja Minja
Hilda Newton
Wanafaa kuongoza Bavicha
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Kabla ya kufikiria nani anafaa kuongoza BAWACHA, lijalo linafurahisha.
 
Katika Jumuiya zenye obobevu wa uongozi, hasa wakati wanataka maboresho ya uongozi kutoka uongozi wa muda mrefu kwenda mwingine lazima uwepo uongozi wa mpito, katika muda huo tunajipanga zaidi kabla ya kujaza nafasi.

Muda huu BAWACHA ingewachwa chini baraza la uongozi ambao inabidi liundwe na kamati kuu na liongoze taasisi hiyo muhimu kwa muda kama mwaka mmoja ili kuondoa sumu (influences) za viongozi wanaoondoka sasa kabla ya kufanya mkutano wa kujaza nafasi zilizo wazi.
Sure! CDM inapaswa kuanza kuwawinda wasaliti ndani ya chama na kuwatimua,BAWACHA ni lazima iwe chini ya uangalizi kwa sasa ili kuondoa ushenzi wa hawa watu.
 
Katika Jumuiya zenye obobevu wa uongozi, hasa wakati wanataka maboresho ya uongozi kutoka uongozi wa muda mrefu kwenda mwingine lazima uwepo uongozi wa mpito, katika muda huo tunajipanga zaidi kabla ya kujaza nafasi.

Muda huu BAWACHA ingewachwa chini baraza la uongozi ambao inabidi liundwe na kamati kuu na liongoze taasisi hiyo muhimu kwa muda kama mwaka mmoja ili kuondoa sumu (influences) za viongozi wanaoondoka sasa kabla ya kufanya mkutano wa kujaza nafasi zilizo wazi.
Sio kwa Afrika yetu hii..... CUF walifanya hili kosa kutoweka mwenyekiti na kuwa chini ya baraza la uongozi.

What happened kila mtu anafahamu.... Ucje shangaa siku Mdee anarudi na kudai ni mwenyekiti halali wa BAWACHA na mahakama ikamlinda.

Na kma hawakuweka replacement ndio mgogoro ule wa CUF utahamia CHADEMA rasmi.
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Yule mama wa chato kajitoa sana anastahili recognition ya kitaifa.

Upendo kma bado yupo Loyal awe promoted ili wamretain

Kuna cathy Ruge (Uzoefu na Msomi)

Suzan kolimba (Too Loyal)

Aisha Madogga (Hyu kipanga haswaa)

Kiufupi CHADEMA ina hazina kubwa kma ambavyo hakuna aliyemfahamu Kishoa au Mdee kabla hawajaibuliwa na Mbowe. Then watakuja wapya na kuendeleza moto wa BAWACHA
 
Ni kweli lakini approach waliyotumia uongozi wa cdm kushughulikia jambo hili sio sahihi. Kwa hiyo hata hayo maamuzi ya kamati kuu ya cdm yamefanyika kwa kuzingatia kauli walizozitoa kwa umma kabla baada tu ya tukio la kuapishwa wabunge wa viti maalum kupitia cdm, hivyo wasingeweza kubatilisha kauli zao. Kwa mwenendo huu cdm itakuwa ngumu kushika dola kwa sababu kila wakati wao ni kufukuzana bila utaratibu. Cdm imewekeza rasilimali fedha na muda mrefu sana kuwajenga kiuongozi kwa ajili ya kusimamia taasisi katika kufikia lengo lililokusudiwa halafu kabla ya kufikia engo unafukuza na kuanza upya. Sidhani kwa approach hii kama utaweza kufikia lengo.
Principles over individualistic leaders.

Everyday of the week......
 
Kwakuwa wanachama wengi wa Chadema mwisho wa siku wanaonekana ni wasaliti mfano Wangwe, Zitto, Kitilla na sasa akina mama Mdee, Esther Matiko, Bulaya, Chadema isimwamini mwanachama yeyote kumpa uongozi. Hivyo, basi ili Chadema ibaki imara na iendelee kuwa imara nashauri Uongozi wa BAWACHA ubaki chini ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe!!!
Mkuu kama Mdee yadaiwa kugeuka msaliti labda atafutwe malaika ambae hatuna uwezo wa kumteua.Labda tatizo lipo ndani ya uongozi wa juu kabisa.
 
Back
Top Bottom