Nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA baada ya Viongozi kutimuliwa?

Nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA baada ya Viongozi kutimuliwa?

Yesu alizaliwa kwenye banda la mifugo. Utu uzima wake wote hakuwa na makazi wala kibarua cha kudumu. Aliishi kwa fadhila za watu.
Nyerere alipojiunga na TAA alikuwa mwalimu wa kawaida tu ambae alikuwa anapakizwa kwenye baiskeli kurudi shuleni.
Bibi Titi Mohammed hakusoma na aliolewa akiwa na umri wa miaka 14. Alikuwa muimbaji kwenye kikundi cha ngoma.
Kutokana na mawazo yako, wote hawa hawakustahili uongozi kutokana na hali duni waliyokuwa nayo.
Mpimeni huyu binti kwa uwezo wake na sio vitu alivyokuwa navyo.

Amandla...
Usimfananishe Yesu na mambo ya kijinga Tafadhali.
 
Yesu alizaliwa kwenye banda la mifugo. Utu uzima wake wote hakuwa na makazi wala kibarua cha kudumu. Aliishi kwa fadhila za watu.
Nyerere alipojiunga na TAA alikuwa mwalimu wa kawaida tu ambae alikuwa anapakizwa kwenye baiskeli kurudi shuleni.
Bibi Titi Mohammed hakusoma na aliolewa akiwa na umri wa miaka 14. Alikuwa muimbaji kwenye kikundi cha ngoma.
Kutokana na mawazo yako, wote hawa hawakustahili uongozi kutokana na hali duni waliyokuwa nayo.
Mpimeni huyu binti kwa uwezo wake na sio vitu alivyokuwa navyo.

Amandla...
Yesu anakujaje hapa sasa.? Usimfanishe Yesu na vitu vya kijinga.
 
Mihemko bado mnaendelea nayo. Bahati mbaya kabisa hamumjui ndio maana nikauliza kwanza, huyo hujui baada ya uchaguzi alikuwa na tuhuma za kushirikiana na ccm? Waulizeni viongozi wa chadema Tanga
Wwe umeuliza tunampendea nini? Ndio nmekutajia, hayo ya usaliti hta Mdee aliyekua loyal miaka 15+ amefanya.

Btw nlikua naye kozi moja hapo UD so sijamsikia mitandaoni.
 
CPA Catherine Ruge Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti Mama Suzan Kiwanga, Naibu Katibu Mkuu bara Grace Kiweu, Katibu Mkuu Upendo Peneza. Mgombea wa Tabora Mjini ni Covid 19 kafukuzwa.
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.

Suzani Kiwanga.
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.

Suzani Kiwanga.
 
Usimfananishe Yesu na mambo ya kijinga Tafadhali.

Nini nilichokisema juu ya Yesu ni uongo? Unadhani Yesu angekuwepo angewakumbatia hao unaowaabudu ambao kwa wakati wake walikuwa ndio walimu wa sheria na Mafarisayo? Yesu ambae, katika Yohana 8:7 aliwaambia watu kama wewe mnaopenda kuwahukumu wenzenu " asiyekuwa na dhambi kati yenu awe wa kwanza kumtupia jiwe". Yesu ndio mfano sahihi wa kujibu hoja yako isiyo na mashiko.

Amandla...
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Mkuu,

Yaani mume anafiwa na mkewe siku hiyo hiyo unawatangazia wanawake wengine nani yuko tayari kuchukua nafasi yake? Kweli hampendani, penye tofauti ndio huonesha matundu yaliyosilibwa na pamba.....mpaka mtatoana roho bure mwishowe mnakosa wote.....!!!
 
Mkuu,

Yaani mume anafiwa na mkewe siku hiyo hiyo unawatangazia wanawake wengine nani yuko tayari kuchukua nafasi yake? Kweli hampendani, penye tofauti ndio huonesha matundu yaliyosilibwa na pamba.....mpaka mtatoana roho bure mwishowe mnakosa wote.....!!!
mfano wako ni wa bandia
 
Kuna yule alikuwa anagombea na mwana FA nimemsahau jina na kuna yule mwingine wa shinyanga nae nimemsahau jina. Hilda anafaa kupewa nafasi ila sio ya uenyekiti

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Catherine Ruge,ameonyesha ukomavu na kutokuwa na tamaa mbele,Kama alishawishiwa na wenzake na bado akasimamia msimamo wake kwamba hawezi saliti chama.Huyu anafaa sana.
Mkuu funguka kidogo maana wengine tuko gizani hadi sasa, kumbe kulikuwa na mchakato kikuwadi wa kutafuta wabunge.
 
Kwisha habari yeke huyu..asubiri kuteuliwa uDC na babake walau afute machozi.
Anakuwa mbunge wa Mahakama kwa miaka mitano,
Hapo yy anakuwa amepata faida kuliko ww wala chadema
 
Back
Top Bottom