fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Acha uzuzuInaonekana CCM wanataka kufanya kitu tofauti kidogo na utamaduni. Wanataka kwenda na Mdee muda huu. makao makuu hapa jina ni moja tu vinywani mwa vigogo nalo ni HALIMA MDEE
Vice Chancellor wa Uongozi UniversityHuyo naye ni mnafiki tu
Kwako hii ni habari?Inaonekana CCM wanataka kufanya kitu tofauti kidogo na utamaduni. Wanataka kwenda na Mdee muda huu. makao makuu hapa jina ni moja tu vinywani mwa vigogo nalo ni HALIMA MDEE
Atawachaje huo uzuzu wakati uzuzu ndiyo unao muingiza kipato?
Kwa sasa sukuma gang mshachelewa sanaMheshimiwa Polepole anafaa kukabidhiwa mikoba ya aliyejiuzulu. Hii italeta utulivu wa kisiasa
Ni 2ic wa sukuma gangHuyo naye ni mnafiki tu
Kilichobaki warudi chatu wakachunge mooo.Kwa sasa sukuma gang mshachelewa sana
Wengine wakachunge pale burigiKilichobaki warudi chatu wakachunge mooo.
Ww ni mwakyembe nn mbona unarudia rudia jina lako ? Kama ni ww wala haufaiNdugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.
1. Tulia Ackson
2. Andrew John Chenge
3. Abdurahman Omari Kinana
4. Mussa Azan Zungu
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Dr Harrison Mwakyembe
7. Jenister Joachim Mhagama
8. David Mwakiposa Kihenzile
9. Stephen Masatu Wassira
10. Dr Harrison Mwakyembe
Huyo wa V8 unaijua wewe,hapana😁😁😁Mheshimiwa Polepole anafaa kukabidhiwa mikoba ya aliyejiuzulu. Hii italeta utulivu wa kisiasa
Kulikon kwa burigi mkuuWengine wakachunge pale burigi
Labda awe mwalimu was kifundishHuyo wa V8 unaijua wewe,hapana😁😁😁
Kumbe na ww umeiona hiyo[emoji3516]Labda awe mwalimu was kifundish
maviiete
Inaonekana CCM wanataka kufanya kitu tofauti kidogo na utamaduni. Wanataka kwenda na Mdee muda huu. makao makuu hapa jina ni moja tu vinywani mwa vigogo nalo ni HALIMA MDEE
Wampitishe sababu ni mwanaCCM mwenzaoInaonekana CCM wanataka kufanya kitu tofauti kidogo na utamaduni. Wanataka kwenda na Mdee muda huu. makao makuu hapa jina ni moja tu vinywani mwa vigogo nalo ni HALIMA MDEE