Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Kama Mama aliona shida kubwa ya Ndugai ni race ya 2025, basi itakua hivyo pia kwa kiongozi yoyote wa muhimili kutoka kwenye Generation ya kina Ndugai, kulewa kiti na kuanza kuuwazia uRais 2025....Damu changa inahitajika kuongoza mhimili huu kwa sasa hivyo kwangu ni:

1. David Kihenzile - ni Mwenyekiti wa Bunge wa sasa pekee kijana, energetic , very smart upstairs na mtulivu sana na hana papara. Atasaidia kuzalisha mhimili wenye maisha mapya.

2. Steven Masele - Kijana mwenye exposure nzuri ya Bunge East Africa, brilliant indeed, mtulivu na hana papara. He can help run the seat well.

3. Andrew Chenge - He is out of race, na hatokua na ligi za kijinga za kisiasa, atasaidia tu kusogeza muda bunge liende salama na kuleta utulivu.

4. Dr. Emmanuel Nchimbi - Man of Good politics, ili bunge lisiwe na matabaka anaweza saidia kurudisha umoja wa mhimili, japo atafanya siasa zake zaidi za uRais kuliko uspika atakaopata.
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe
Unampenda sana Mwakyembe.
 
Inaonekana CCM wanataka kufanya kitu tofauti kidogo na utamaduni. Wanataka kwenda na Mdee muda huu. makao makuu hapa jina ni moja tu vinywani mwa vigogo nalo ni HALIMA MDEE
 
Inaonekana CCM wanataka kufanya kitu tofauti kidogo na utamaduni. Wanataka kwenda na Mdee muda huu. makao makuu hapa jina ni moja tu vinywani mwa vigogo nalo ni HALIMA MDEE

La huyu mwamba halijasikika sikika huko?

 
Sawaa
Screenshot_20220107-142127.jpg
 
Chap kidog hoja ya kutokuwa na Imani na raisi itapepea 😀 Pole pole tena
 
Kama Mama aliona shida kubwa ya Ndugai ni race ya 2025, basi itakua hivyo pia kwa kiongozi yoyote wa muhimili kutoka kwenye Generation ya kina Ndugai, kulewa kiti na kuanza kuuwazia uRais 2025....Damu changa inahitajika kuongoza mhimili huu kwa sasa hivyo kwangu ni:

1. David Kihenzile - ni Mwenyekiti wa Bunge wa sasa pekee kijana, energetic , very smart upstairs na mtulivu sana na hana papara. Atasaidia kuzalisha mhimili wenye maisha mapya.

2. Steven Masele - Kijana mwenye exposure nzuri ya Bunge East Africa, brilliant indeed, mtulivu na hana papara. He can help run the seat well.

3. Andrew Chenge - He is out of race, na hatokua na ligi za kijinga za kisiasa, atasaidia tu kusogeza muda bunge liende salama na kuleta utulivu.

4. Dr. Emmanuel Nchimbi - Man of Good politics, ili bunge lisiwe na matabaka anaweza saidia kurudisha umoja wa mhimili, japo atafanya siasa zake zaidi za uRais kuliko uspika atakaopata.
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe
Mkuu, kwenye orodha yako umeshindwa kuongeza Nina LA Dr. Emmanuel Nchimbi?.
 
Inaonekana CCM wanataka kufanya kitu tofauti kidogo na utamaduni. Wanataka kwenda na Mdee muda huu. makao makuu hapa jina ni moja tu vinywani mwa vigogo nalo ni HALIMA MDEE
Kwa hiyo mnataka kuhalalisha covid20-1 sio?
 
Back
Top Bottom