Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCMKwa Tiketi Ya Chama Gani[emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCMKwa Tiketi Ya Chama Gani[emoji15]
Hifadhini hivyo nyasi ni nyingi sanaKulikon kwa burigi mkuu
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.
1. Tulia Ackson
2. Andrew John Chenge
3. Abdurahman Omari Kinana
4. Mussa Azan Zungu
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Dr Harrison Mwakyembe
7. Jenister Joachim Mhagama
8. David Mwakiposa Kihenzile
9. Stephen Masatu Wassira
10. Dr Harrison Mwakyembe
Huo ndo mkoa ganiNi zamu ya mzanzibari kuwa speaker wa bunge sasa, haijawahi kutokea mzanzibari kushika nafasi hio, wakati ni huu
Dr msukuma.Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.
1. Tulia Ackson
2. Andrew John Chenge
3. Abdurahman Omari Kinana
4. Mussa Azan Zungu
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Dr Harrison Mwakyembe
7. Jenister Joachim Mhagama
8. David Mwakiposa Kihenzile
9. Stephen Masatu Wassira
10. Dr Harrison Mwakyembe
Kwa kilichotokea hakuna atakae kuwa na ujasiri 2a kuhoji tena .....99% ya wabunge na wanakijani wamefyata mkia...Anahitajika mtu asieyumbushwa na mwenye kusimamia anachokiamini ili bunge liweze kuisimamia GOV ipasavyo.
Sgang bado mnahamu ya kutuvurugia taifa eehh.Job Ndugai atachukua fomu ya Uspika na atachaguliwa kwa Mara nyingine kuwa Spika wa JMT
Ila mwendazake masalia kweli mna roho ya paka!!yaani hamtaki tu kukubali sasa zamu yenu imekwisha!!mwambieni pole pole/bashiru achukukue fomu ya u spika!!, si mnasema mnanguvu sana, ili adumishe fikra za meko na ndugaiJob Ndugai atachukua fomu ya Uspika na atachaguliwa kwa Mara nyingine kuwa Spika wa JMT
MmmJob Ndugai atachukua fomu ya Uspika na atachaguliwa kwa Mara nyingine kuwa Spika wa JMT
Hata akigombea pale kongwa watamtosa🤸.Ndugai for presidency 2025!
Vulugu na fujo zipi hizo?yaani nyie sukuma gang, kutupwa nje ya mfumo ndio useme vulugu na fujo?zilishindwa kutokea wakati mkifanya dhuruma zile za wazi?!!kulia ni kupokezana.Mwaka wa vurugu na fujo Kuna Nini wananchi wenzangu?