Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Ndungai usikubali vijembe vya kimakunduchi,rudi kwa staili ya Lipumba,wazalendo tuko pamoja na wewe.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hiyo style ni sahihi haswa itapunguza cost ya hizi chaguzi za sitaki nataka.CCM mmechoka mbaya,kila kitu ni michongo,magumashi inayoleta mikazo kwa wananchi.
Unajiuzulu nafasi halafu muda huo huo unatamani kuigombea na ukiipata huna jipya,wapisheni na wengine.Hauwezi kimbia rellay ukajipokeza kijiti mwenyewe.Kwa uongozi gani mliouonyesha since 1961?Tanzania ime stuck na sasa mwatuambia mnada unanukia-Ukiwadia tunaanza kuiuza ccm na makorokoro yake kwanza.
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe
Huenda asiwe miongoni mwa hao kabisa
 
Kwa kilichotokea hakuna atakae kuwa na ujasiri 2a kuhoji tena .....99% ya wabunge na wanakijani wamefyata mkia...
Fact !!! Njaa mbaya sana. Inapelekea watu kutojiamini na kukosa uhuru wa mawazo/maoni.
 
Ila mwendazake masalia kweli mna roho ya paka!!yaani hamtaki tu kukubali sasa zamu yenu imekwisha!!mwambieni pole pole/bashiru achukukue fomu ya u spika!!, si mnasema mnanguvu sana, ili adumishe fikra za meko na ndugai

Nina wasi mnajitungia ili roho zenu ziondoe Stress. Lakini Hiyo Ni kama kunywa pombe , ikitoka Shida iko pole pole. Mwanasiasa Ana maslahi yake sio ya mtu aliyekufa. Labda kama ingekuwa na falsafa. Ila kwa maisha ya Sasa kila mtu na tumbo lake. Hakuna Sukuma gang.
 
Ndugai for presidency 2025!
Labda Kwa hiki chama
Screenshot_20210704-161108_Twitter.jpg
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe
TUNAMTAKA DR.MSUKUMA
JamiiForums-1055552649.jpg
 
Kwa hivyo amejiuzulu bila kosa lolote. Umeisikia hotuba yote ya Ndugai akiomba msamaha?. Amekiri kakosa wewe unasema hana kosa lolote. All in all muda wa Ndugai umekwisha aje mwingine.

Mkuu unajua tafsiri ya neno "shinikizo"....

Hebu tuambie kosa la ndugai ni lipi kwenye nchi ya kidemokrasia..

Nipe kosa alilofanya kama Spika, na alilofanya kama Ndugai??kwa maslahi mapana ya nchi.
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe

Number 10 au 6 mmoja wao
 
Mmh huu mchezo mlio anzisha utawacost .. sasa mchi ina makundi achilia mbali vyama. Kuna kindi la watu ambao hawataki chanjo, kuna watu wanao taka katiba mpyaa na watu ambao hawataki mikopo sasa haya magenge mwishoe hua mbaya
 
Job Ndugai atachukua fomu ya Uspika na atachaguliwa kwa Mara nyingine kuwa Spika wa JMT
Ahahaha,kmmmmae, sukuma gang mnatapatapa, simlisema ndugai hawezi kujiuzulu,Sasa saizi mnasema atachukua fomu, kwaiyo akishachukua fomu ndio tayari kawa spika!???
Bado hamjajua tu nguvu ya taasisi ya Rais, mtashughulikiwa hadi maji muite mma
 
Duu jamani tunafanywa mazumbukuku sasa!!!
 
Back
Top Bottom