Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechelewa. Hivi huwa mnaioendea Nini?
Supu ya mboliko auWanatengeza supu
Wale jamaa waroho sana hawachikitu hadi vichwa vya kuku wanapita navyoWachina ni ulafi unawasumbua.
Wanaenda kula, kumbuka wananunua zaidi tumbo dogo(kitabu), hii ndiyo most nutritious portion. Ni biashra kubwa toka zamani, hata masoko makubwa kama alibaba na amazoni wanauza salted dryKila nikienda vingunguti kutafta nyama ya mbuzi; huwa nakuta haina matumbo; ukiuliza unaambiwa Wachina wameyanunua kwa oda!
Je, Wachina wanakazi gani spesho na Yale matumbo ya mbuzi?
Maana inavyoelekea yatakuja kuwa adimu kama Mabondo ya samaki huko Mwanza!
Siyo kweli kiongozi, ni moja ya mlo bora kabisa. Google - Goat/sheep stripes utaona inavyosifiwa na kupendwaWachina ni ulafi unawasumbua.
Wanaongezea na mkojo wa pundaYakiwa hivohivo au kuna dawa wanatia
Tukuulize, wewe unatafuta matumbo ya mbuzi ya nini? Tafuta hela usijisumbue na matumbo pia kumbuka usichokijua hakikuhusu. YA NGOSWE MWACHIE NGOSWE..!!Kila nikienda vingunguti kutafta nyama ya mbuzi; huwa nakuta haina matumbo; ukiuliza unaambiwa Wachina wameyanunua kwa oda!
Je, Wachina wanakazi gani spesho na Yale matumbo ya mbuzi?
Maana inavyoelekea yatakuja kuwa adimu kama Mabondo ya samaki huko Mwanza!
Majibu ni mengi ajabu!Wanakausha wanasafirisha kwenda kutengeneza nyuzi za kushonea wakati wa oparesheni zile zisizotolewa.
Wengi wamejibu,ila kwenye wanyama hawa walao nyasi haswa ng'ombe,mbuzi na kondoo wa kufugwa nyumban,ktk matumbo yao huwa kunakuwa na kitu Cha uduara (kama kinyesi au nyasi)nimewahi sikia Ni mara chache kukipata kwa hao wanyama tajwa juu ,huwa kinakuwa na kemikal au Ni aina ya dini la thamani ,hivo yu mkini wanakitafuta kwa kuweka oda ya matumbo mengi ya mbuzi.Kila nikienda vingunguti kutafta nyama ya mbuzi; huwa nakuta haina matumbo; ukiuliza unaambiwa Wachina wameyanunua kwa oda!
Je, Wachina wanakazi gani spesho na Yale matumbo ya mbuzi?
Maana inavyoelekea yatakuja kuwa adimu kama Mabondo ya samaki huko Mwanza!
Kumbe matumiz ni mengiWanakausha wanasafirisha kwenda kutengeneza nyuzi za kushonea wakati wa oparesheni zile zisizotolewa.
OkayWengi wamejibu,ila kwenye wanyama hawa walao nyasi haswa ng'ombe,mbuzi na kondoo wa kufugwa nyumban,ktk matumbo yao huwa kunakuwa na kitu Cha uduara (kama kinyesi au nyasi)nimewahi sikia Ni mara chache kukipata kwa hao wanyama tajwa juu ,huwa kinakuwa na kemikal au Ni aina ya dini la thamani ,hivo yu mkini wanakitafuta kwa kuweka oda ya matumbo mengi ya mbuzi.
Wanatengenezea bangili, shanga na pete.Hahaaaaaa. Ila wachina noma, mpaka pembe za ng'ombe wanachukua. Zimekuwa Mali kwa sasa
Halafu anakuja mtu kutoka alikotoka anadai Bangi mbyUsikute wanatengeneza nguo, hawashindwi wachina.
Mkuu km tulipeleka watu DOM! Tutoe Punda DOM waje DARSio matumbo yote ni ule utumbo unaoitwa KITABU, huwa wanakula mbichi hivyo hivyo. Wanachovya tu kwenye pilipili.
Ulafi wao ndio maana wanatuletea magonjwa ya ajabu.
Kule Dodoma wanakaribia kumaliza punda.
Una akili sana mama la mama.kwel zamu yenu sasaBasi itakuwa wanatengezea "soseji"