Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Si ndio hapo ndugu yangu, bangi ina ubaya gani sasa!!!Halafu anakuja mtu kutoka alikotoka anadai Bangi mby
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio hapo ndugu yangu, bangi ina ubaya gani sasa!!!Halafu anakuja mtu kutoka alikotoka anadai Bangi mby
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mkuu we endelea tu kula ubongo wa mbuzi, ukija kuwa na akili kama YEHODAYA usije kulaumu mtu.Isije kuwa yana madini ya thamani ,sisi tumekalia kula ubongo na ulimi
Mkuu umeongelea vitu vingi lakini hakuna hata cha maaana,yaani unashauri kuwa jambo tusilolijua halituhusu na tusipoteze muda Wa kushughulika nalo? Kwenye dunia ya sasa kuna mambo mengi sana ambayo yanaibuka na hatuyajui hivyo kuna haja ya kuhangaika nayoTukuulize, wewe unatafuta matumbo ya mbuzi ya nini? Tafuta hela usijisumbue na matumbo pia kumbuka usichokijua hakikuhusu. YA NGOSWE MWACHIE NGOSWE..!!
Wanakula huwa wanakata kata vipande vya udefu wa 1ft wanashindilia vinyamanyama vya wanyama wengine na wadudu wanakaanga wanakafakata kama biskuts ndo sanakulaKila nikienda vingunguti kutafta nyama ya mbuzi; huwa nakuta haina matumbo; ukiuliza unaambiwa Wachina wameyanunua kwa oda!
Je, Wachina wanakazi gani spesho na Yale matumbo ya mbuzi?
Maana inavyoelekea yatakuja kuwa adimu kama Mabondo ya samaki huko Mwanza!
DuhIla hata mbagala pumbu choma kibao zinauzwa Zakhiem hadi Rangi tatu
Kila nikienda vingunguti kutafta nyama ya mbuzi; huwa nakuta haina matumbo; ukiuliza unaambiwa Wachina wameyanunua kwa oda!
Je, Wachina wanakazi gani spesho na Yale matumbo ya mbuzi?
Maana inavyoelekea yatakuja kuwa adimu kama Mabondo ya samaki huko Mwanza!