Nani anafaidika na ndoa?

Nani anafaidika na ndoa?

Yani laiti kama tungeamua kuorodhesha humu mitandaoni wanayopitia wanawake kwenye ndoa zao, basi hakika tungejaza servers za jf, ni vile tu wanawake wengi sasa hivi wamechagua kukaa kimya na kuwaacha wanaume waongee wanavoweza
 
Anafaidika yule ambaye hazalishi zaidi... maana anaingia kwenye ndoa tayari akiona afuheni anayoenda kuipata
 
Yani laiti kama tungeamua kuorodhesha humu mitandaoni wanayopitia wanawake kwenye ndoa zao, basi hakika tungejaza servers za jf, ni vile tu wanawake wengi sasa hivi wamechagua kukaa kimya na kuwaacha wanaume waongee wanavoweza
Wanaume atuteseki et?
 
Hii haiwezi kumpata mwanaume aliyemheshimu na kumpenda mke wa ujana wake na wanae kama ipasavyo. Ukiona hivi ujue huyu baba kuna mahali aliifanyia familia yake mambo meusi.

Wanaume wengi wanapoingia kwenye ndoa wanaanza kutesa wake zao kwa michepuko kila kona na ubabe na falsafa yao ya "mwanaume rijali hatosheki na mwanamke mmoja" Watoto wanakuwa wanaona mapito ya mama yao. Mke naye mapenzi yanaisha anabaki pale kwa ajili ya watoto. Watoto wanakua watu wazima sasa mama abaki na baba mtesaji ili iwe nini? Na wakati mama na wanae wanajua wewe sio family man tangu zamani!

Hii ni kwa wote mnaowapitisha wake zenu kwenye mapito. Endeleeni kunywa mtori nyama ziko chini
 
Kwahyo wewe mama yako akija kwako utamtimua na kumrudisha kwa mume wake?
Jinga kubwa wewe! Sasa unataka kuishi na mke wa mtu na mumewe yupo?

Kwa nini kama unampenda sana huyo mke wa mtu usimchukuwe na mume wake?
 
Yani laiti kama tungeamua kuorodhesha humu mitandaoni wanayopitia wanawake kwenye ndoa zao, basi hakika tungejaza servers za jf, ni vile tu wanawake wengi sasa hivi wamechagua kukaa kimya na kuwaacha wanaume waongee wanavoweza
Umenikumbusha family moja hivi. Mke na mume walikuwa na watoto watatu. Wakike wawili na wakiume mmoja. Watoto walisoma na wakike wakaolewa. Siku ambayo wa kiume kamaliza Chuo na kupata kazi Mama alimwambia mume wake "Kazi iliyokuwa inanifanya niendelee kukaa hapa, nimeimaliza. Naondoka" Yule bwana hakuamini na watu waliokuwa wanaifahamu ile familia hawakuamini. Wanawake wanapitia mambo magumu sana kwenye ndoa.
 
Mwanaume huyu ana umri wa miaka 68. Ni mstaafu aliyefanya kazi maisha yake yote kulea watoto wake.

Alijinyima raha za dunia ili aweze kuwalipia karo ya shule (kwenye shule za gharama) na gharama nyingine za maisha kwa watoto wake nje ya nchi.

Sasa watoto wako vizuri huko Uropa na Amerika. Mkewe mwenye miaka 60 amemwacha mzee huyu na kuwafuata watoto wake kwenda kuishi nao.

Sasa mzee yuko peke yake nchini Kenya. Watoto wake wala hawamtafuti. Na sasa inabidi aanze maisha mapya kama kapera.

Anapambana na shinikizo la damu na magonjwa mengine ya uzee. Je, angeishi peke yake hadi lini?

Huu ndiyo ukweli kwa wanaume wengi wa tabaka la wafanyakazi wenye mke mmoja. Uzee wao kwa kawaida ni wapweke na katika hali nyingi, huzuni.

Jitahidi kadri uwezavyo, lakini wanawake wanapenda watoto wao zaidi ya waume zao, haijalishi mwanaume ni mtanashati kiasi gani. Kadiri anavyozidi kuwa mzee, ndivyo mvuto unavyopungua kwa mkewe.

Niambie basi, wanaume wanafaidika nini na ndoa?

Wanajinyima sana lakini wanapata kutambuliwa kidogo sana kwa kazi ngumu. Mwanamke huvuna faida zote kwani watoto mara nyingi huwa karibu na kumpenda zaidi anapozeeka...

Tuendelee kuimba "Nani kama Mama"...View attachment 2683800
1.Kunya mtoto sio jambo dogo
2.Mtoto hawezi kusingiziwa mama
 
Mwanaume huyu ana umri wa miaka 68. Ni mstaafu aliyefanya kazi maisha yake yote kulea watoto wake.

Alijinyima raha za dunia ili aweze kuwalipia karo ya shule (kwenye shule za gharama) na gharama nyingine za maisha kwa watoto wake nje ya nchi.

Sasa watoto wako vizuri huko Uropa na Amerika. Mkewe mwenye miaka 60 amemwacha mzee huyu na kuwafuata watoto wake kwenda kuishi nao.

Sasa mzee yuko peke yake nchini Kenya. Watoto wake wala hawamtafuti. Na sasa inabidi aanze maisha mapya kama kapera.

Anapambana na shinikizo la damu na magonjwa mengine ya uzee. Je, angeishi peke yake hadi lini?

Huu ndiyo ukweli kwa wanaume wengi wa tabaka la wafanyakazi wenye mke mmoja. Uzee wao kwa kawaida ni wapweke na katika hali nyingi, huzuni.

Jitahidi kadri uwezavyo, lakini wanawake wanapenda watoto wao zaidi ya waume zao, haijalishi mwanaume ni mtanashati kiasi gani. Kadiri anavyozidi kuwa mzee, ndivyo mvuto unavyopungua kwa mkewe.

Niambie basi, wanaume wanafaidika nini na ndoa?

Wanajinyima sana lakini wanapata kutambuliwa kidogo sana kwa kazi ngumu. Mwanamke huvuna faida zote kwani watoto mara nyingi huwa karibu na kumpenda zaidi anapozeeka...

Tuendelee kuimba "Nani kama Mama"...View attachment 2683800
Njia nzuri kuwa na wanawake wawili na kujiwekea vitega uchumi ukiwa na pesa za kubadilishia mboga hauwezi kuwa mpweke na mabinti walivyojaa mjini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom