gcmmedia
Member
- Jul 19, 2024
- 34
- 75
Nimekuwa nikisafiri kwa mabasi kwenda mikoa mbalimbali na kuna maudhui mbalimbali (muziki na filamu) yanarushwa kwenye tv za basi.
Vyombo hivi vya usafiri husafirisha watu wa umri tofauti, undugu wa karibu na dini tofauti. Maudhui yanayorushwa wakati Fulani hayazingatii mazingira ya wasafiri hawa.
Je, Nani anayedhibiti maudhui yanayorushwa ili yasiwe kero kwa wengine?
Vyombo hivi vya usafiri husafirisha watu wa umri tofauti, undugu wa karibu na dini tofauti. Maudhui yanayorushwa wakati Fulani hayazingatii mazingira ya wasafiri hawa.
Je, Nani anayedhibiti maudhui yanayorushwa ili yasiwe kero kwa wengine?