Nani anahusika na mfumo wa malipo wa serikali - GEPG?

t blj

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
7,035
Reaction score
16,705
Habari wakuu,

Kwa wanafanya malipo ya serikali watakubaliana nami kuwa, mfumo wa kulipia na kuhakiki malipo wa serikali " government e payment gateway" (GEPG), haufanyi kazi vizuri kwa takriban mwezi sasa! Hali hii inasababisha usumbufu mkubwa wa kufanya na kuhakiki malipo ya serikali.

Ni Nani anahusika na matemgenezo ya mfumo huu? Mfumo unahujumiwa? Wenye kujua tatizo watujuze.
 
App inazingua sana hii yani ni mbovu sijawahi ona
 

Attachments

  • IMG-20240727-WA0025.jpg
    11.6 KB · Views: 7
Hivi kuna mtu anajua namna nyingine ya kulipia kodi ya Ardhi nje ya app na menu ya simu coz zote nimejaribu na zinakaa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…