Rashidi juma Ana nini tukiondoa mbioNimeshangaa timu bora ya Africa inamsajili singano
Alafu wanawauza wachezaji wao tegemezi wawili kwenda ubeligiji ambao ni meshak Elia na zola
Singano anamiaka 27 ataipa nini tp mazembe angekuwa na miaka 22 tungesema angeweza kudevelop kisoka ila huyu jua limeshazama
Ninavyoona Tp mazembe wanawakala mtanzania anayewaingiza chaka na anapiga ten percent
Wameshindwa kumuona hata rashid juma ndio wakachukue ile mashoto inakimbia bila plan uwanjani
Ila boss wa Tp mazembe atakua ameyumba sana kiuchumi
Mazembe inaanza kupotea taaratibu baada ya miaka kumi na tano kwenye pik ya juu
Ulimwengu amepita kwenye njia sahihi ya professional player hajavuka hatua ndio maana makocha wengi wa kimataifa hawamuachimazembe amepotea.. ila msimu uliopita katolewa nusu fainali ya caf champions league na bingwa mtetezi esperence kwa aggregate 1-0... tena kwa mbinde.
utashangaa hao kina singano watavyokuwa bora...
ulimwengu alisajiliwa kimya kimya.. ila akamudu kucheza mazembe vizuri
Umri kwenye mpira ni kila kituWabongo! Wabongo! There back at your keyboard buttons criticizing the big power Sport club of Tp Mazembe?
Unadhani una upeo mkubwa Sana kuliko jopo la wataalam wa usajili TP Mazembe? Wanajua wanachokifanya kuliko wewe mtanganyika wa dumila,
Samatta was never such a deal, but Mazembe made him to be who he is now! Football is a game of chance and have turned into business and investment.
Nyamaza usiyoyajua! Waachie wenyewe! Khaaaaa!
Ndiyo Messi.Messi?
Kwa Africa tp mazembe ni zile club pik ya juuDaah nimesoma mpaka nashangaa umeandika nini? Hivi unaweza kataa ofa ya Anderlecht ya kumnunua meshack Elia? Kuuza wachezaji ni lazima wauzwe ili timu ipate faida.
Swala umri unalishangaa kwa tp mazembe !!! Je unajua umri wa wachezaji wanaosajiliwa hapa kwa timu za kariakoo?
Ko mlitaka singano asajiliwe wapi? Ndanda au?
Tp mazembe inasajili wachezaji wengi wa type hiyo na inawapeleka katika development squad kuwaimarisha sasa nashangaa mnavoponda na siku zote uelewe kua usajili ni gambling waweza sajili mchezaji mzuri sana na akaja akachemka.Kwa Africa tp mazembe ni zile club pik ya juu
Zinaposajili mchezaji wa kigeni lazima awe na uwezo mkubwa kiliko wachezaji wazawa sasa unaweza kuona singano ana nini? Kama kweli ni mfuatiliaji wa mpira
Na hiyo sheria ya mchezaji wa nje awe na kiwango kuliko wazawa ni sheria ya wapi? Tp mazembe? Au Caf?Kwa Africa tp mazembe ni zile club pik ya juu
Zinaposajili mchezaji wa kigeni lazima awe na uwezo mkubwa kiliko wachezaji wazawa sasa unaweza kuona singano ana nini? Kama kweli ni mfuatiliaji wa mpira