Nani anahusika na usajili wa TP Mazembe

Nani anahusika na usajili wa TP Mazembe

Daah nimesoma mpaka nashangaa umeandika nini? Hivi unaweza kataa ofa ya Anderlecht ya kumnunua meshack Elia? Kuuza wachezaji ni lazima wauzwe ili timu ipate faida.
Swala umri unalishangaa kwa tp mazembe !!! Je unajua umri wa wachezaji wanaosajiliwa hapa kwa timu za kariakoo?
Ko mlitaka singano asajiliwe wapi? Ndanda au?
Manara na genge lake walitamani kumuona messi anacheza GWAMBINA
 
Kwa Africa tp mazembe ni zile club pik ya juu
Zinaposajili mchezaji wa kigeni lazima awe na uwezo mkubwa kiliko wachezaji wazawa sasa unaweza kuona singano ana nini? Kama kweli ni mfuatiliaji wa mpira
Singano ni pure talented kwani unateseka?
 
TP wameonyesha kuwa walikuwa na nia kabisa na AJIBU... kuna kitu wachezaji wa kitanzania wanacho ila hawajielewi tu ndio maana hawa TP wametia timu huku.
Samatta ametangaza nchi vzr huko Congo.. Ulimwengu pia.
Chuki, fitina na roho mbaya kwenye kipaji cha mtu ni kupoteza muda tu... Singano + Ambokile guseni gozi.
 
Wabongo! Wabongo! There back at your keyboard buttons criticizing the big power Sport club of Tp Mazembe?

Unadhani una upeo mkubwa Sana kuliko jopo la wataalam wa usajili TP Mazembe? Wanajua wanachokifanya kuliko wewe mtanganyika wa dumila,

Samatta was never such a deal, but Mazembe made him to be who he is now! Football is a game of chance and have turned into business and investment.

Nyamaza usiyoyajua! Waachie wenyewe! Khaaaaa!
👍👍 Umesomeka mkuu 👊👊
 
Nimeshangaa timu bora ya Africa inamsajili singano
Alafu wanawauza wachezaji wao tegemezi wawili kwenda ubeligiji ambao ni meshak Elia na zola

Singano anamiaka 27 ataipa nini tp mazembe angekuwa na miaka 22 tungesema angeweza kudevelop kisoka ila huyu jua limeshazama

Ninavyoona Tp mazembe wanawakala mtanzania anayewaingiza chaka na anapiga ten percent

Wameshindwa kumuona hata rashid juma ndio wakachukue ile mashoto inakimbia bila plan uwanjani

Ila boss wa Tp mazembe atakua ameyumba sana kiuchumi

Mazembe inaanza kupotea taaratibu baada ya miaka kumi na tano kwenye pik ya juu
Bi hindu toka umejua kutumia mitandao unafujo sana wewe, embu tulia ulee wajukuu na vitukuu vyako,
 
wewe kigezo chako ni umri tu??
mazembe wameona singano anafaa labda uchezaji wake unaendana na mfumo wa kocha, wewe umekazana umri, umri!
haya deo kanda wa simba ana miaka mingapi?
kwanini simba wasajili kina kanda ikiwa wana vijana kama huyo rashid unaemtaja?
kagere nae vipi?
naona ulitaka singano aende ndanda! ndo ungeridhika!
nimegundua wabongo na sisi ni sababu ya taifa stars kufanya vibaya, ujuaji mwingi bongo kila mtu ni kocha! anajua mpira anaona mpaka ya mbeleni kuwa huyu wamesajili garasa.
 
Nimeshangaa timu bora ya Africa inamsajili singano
Alafu wanawauza wachezaji wao tegemezi wawili kwenda ubeligiji ambao ni meshak Elia na zola

Singano anamiaka 27 ataipa nini tp mazembe angekuwa na miaka 22 tungesema angeweza kudevelop kisoka ila huyu jua limeshazama

Ninavyoona Tp mazembe wanawakala mtanzania anayewaingiza chaka na anapiga ten percent

Wameshindwa kumuona hata rashid juma ndio wakachukue ile mashoto inakimbia bila plan uwanjani

Ila boss wa Tp mazembe atakua ameyumba sana kiuchumi

Mazembe inaanza kupotea taaratibu baada ya miaka kumi na tano kwenye pik ya juu
Sorry mkuu, ivi Deo Kanda, Meddie Kagere wana umri gani au simba hawana mpango wa kuExcell
 
Nimeshangaa timu bora ya Africa inamsajili singano
Alafu wanawauza wachezaji wao tegemezi wawili kwenda ubeligiji ambao ni meshak Elia na zola

Singano anamiaka 27 ataipa nini tp mazembe angekuwa na miaka 22 tungesema angeweza kudevelop kisoka ila huyu jua limeshazama

Ninavyoona Tp mazembe wanawakala mtanzania anayewaingiza chaka na anapiga ten percent

Wameshindwa kumuona hata rashid juma ndio wakachukue ile mashoto inakimbia bila plan uwanjani

Ila boss wa Tp mazembe atakua ameyumba sana kiuchumi

Mazembe inaanza kupotea taaratibu baada ya miaka kumi na tano kwenye pik ya juu
Rashid Juma ni mchezaji wa Ndondo cup acha kumpaisha.
 
Wabongo! Wabongo! There back at your keyboard buttons criticizing the big power Sport club of Tp Mazembe?

Unadhani una upeo mkubwa Sana kuliko jopo la wataalam wa usajili TP Mazembe? Wanajua wanachokifanya kuliko wewe mtanganyika wa dumila,

Samatta was never such a deal, but Mazembe made him to be who he is now! Football is a game of chance and have turned into business and investment.

Nyamaza usiyoyajua! Waachie wenyewe! Khaaaaa!
Samatta was smarter before joining to mazembe, of course played some roles to make him great
 
Nimeshangaa timu bora ya Africa inamsajili Singano hlafu wanawauza wachezaji wao tegemezi wawili kwenda Ubelgiji ambao ni Meshak Elia na Zola

Singano ana miaka 27 ataipa nini TP Mazembe? Angekuwa na miaka 22 tungesema angeweza kudevelop kisoka ila huyu jua limeshazama

Ninavyoona Tp Mazembe wana wakala mtanzania anayewaingiza chaka na anapiga ten percent.

Wameshindwa kumuona hata Rashid Juma ndio wakachukue ile mashoto inakimbia bila plan uwanjani?

Ila boss wa Tp Mazembe atakuwa ameyumba sana kiuchumi

Mazembe inaanza kupotea taaratibu baada ya miaka kumi na tano ya kuwa juu
Tz tumeshazoea kuwazeesha wachezaji wetu,yaani asipokuwa Yanga au Simba tunaona hana kiwango kizuri,akili hizi ndizo zinazoshusha kiwango chetu
 
Kwa Africa tp mazembe ni zile club pik ya juu
Zinaposajili mchezaji wa kigeni lazima awe na uwezo mkubwa kiliko wachezaji wazawa sasa unaweza kuona singano ana nini? Kama kweli ni mfuatiliaji wa mpira
Kweli sisi waTz hatujui mpira,eti mfuatiliaji wa mpira? Azam fc singano kacheza mechi ngapi kiasi kwamba uliprove ameshuka kiwango? Utakuwa hujui kwamba Singano bado yupo vizuri ila alikuwa anakosa match fitness.
 
Hahahahahahahahah mchezaji wa miaka 27 sio mchezaji wa majaaribio sio mchezaji wa kumuweka sawa kisaikolojia wala utimamu wa mwili ,27 years old ni mchezaji wa kwenda kuisaidia timu sio mchezaji wa majaribio wala Development.
Singano Hana miaka 27 acha uongo Kama Ajibu ana miaka 23 na ndemla 22 singano kafikaje 27?
Kumbuka Hawa wote wametoka batch moja Simba B
 
Back
Top Bottom