Manara na genge lake walitamani kumuona messi anacheza GWAMBINADaah nimesoma mpaka nashangaa umeandika nini? Hivi unaweza kataa ofa ya Anderlecht ya kumnunua meshack Elia? Kuuza wachezaji ni lazima wauzwe ili timu ipate faida.
Swala umri unalishangaa kwa tp mazembe !!! Je unajua umri wa wachezaji wanaosajiliwa hapa kwa timu za kariakoo?
Ko mlitaka singano asajiliwe wapi? Ndanda au?
Singano ni pure talented kwani unateseka?Kwa Africa tp mazembe ni zile club pik ya juu
Zinaposajili mchezaji wa kigeni lazima awe na uwezo mkubwa kiliko wachezaji wazawa sasa unaweza kuona singano ana nini? Kama kweli ni mfuatiliaji wa mpira
Ask herNa hiyo sheria ya mchezaji wa nje awe na kiwango kuliko wazawa ni sheria ya wapi? Tp mazembe? Au Caf?
Sisi mazembe hatumtaki sababu hafiti kwenye mfumo wetu.Rashid anavitu vingi uwanjani sio mbio tu
kila mchezaji ana vitu vingi uwanjani soksi, njumu, shinguard,bukta, boxer, nini.... hivyo yaniRashid anavitu vingi uwanjani sio mbio tu
👍👍 Umesomeka mkuu 👊👊Wabongo! Wabongo! There back at your keyboard buttons criticizing the big power Sport club of Tp Mazembe?
Unadhani una upeo mkubwa Sana kuliko jopo la wataalam wa usajili TP Mazembe? Wanajua wanachokifanya kuliko wewe mtanganyika wa dumila,
Samatta was never such a deal, but Mazembe made him to be who he is now! Football is a game of chance and have turned into business and investment.
Nyamaza usiyoyajua! Waachie wenyewe! Khaaaaa!
Bi hindu toka umejua kutumia mitandao unafujo sana wewe, embu tulia ulee wajukuu na vitukuu vyako,Nimeshangaa timu bora ya Africa inamsajili singano
Alafu wanawauza wachezaji wao tegemezi wawili kwenda ubeligiji ambao ni meshak Elia na zola
Singano anamiaka 27 ataipa nini tp mazembe angekuwa na miaka 22 tungesema angeweza kudevelop kisoka ila huyu jua limeshazama
Ninavyoona Tp mazembe wanawakala mtanzania anayewaingiza chaka na anapiga ten percent
Wameshindwa kumuona hata rashid juma ndio wakachukue ile mashoto inakimbia bila plan uwanjani
Ila boss wa Tp mazembe atakua ameyumba sana kiuchumi
Mazembe inaanza kupotea taaratibu baada ya miaka kumi na tano kwenye pik ya juu
Sorry mkuu, ivi Deo Kanda, Meddie Kagere wana umri gani au simba hawana mpango wa kuExcellNimeshangaa timu bora ya Africa inamsajili singano
Alafu wanawauza wachezaji wao tegemezi wawili kwenda ubeligiji ambao ni meshak Elia na zola
Singano anamiaka 27 ataipa nini tp mazembe angekuwa na miaka 22 tungesema angeweza kudevelop kisoka ila huyu jua limeshazama
Ninavyoona Tp mazembe wanawakala mtanzania anayewaingiza chaka na anapiga ten percent
Wameshindwa kumuona hata rashid juma ndio wakachukue ile mashoto inakimbia bila plan uwanjani
Ila boss wa Tp mazembe atakua ameyumba sana kiuchumi
Mazembe inaanza kupotea taaratibu baada ya miaka kumi na tano kwenye pik ya juu
Wote wana 79 jumlaSorry mkuu, ivi Deo Kanda, Meddie Kagere wana umri gani au simba hawana mpango wa kuExcell
Rashid Juma ni mchezaji wa Ndondo cup acha kumpaisha.Nimeshangaa timu bora ya Africa inamsajili singano
Alafu wanawauza wachezaji wao tegemezi wawili kwenda ubeligiji ambao ni meshak Elia na zola
Singano anamiaka 27 ataipa nini tp mazembe angekuwa na miaka 22 tungesema angeweza kudevelop kisoka ila huyu jua limeshazama
Ninavyoona Tp mazembe wanawakala mtanzania anayewaingiza chaka na anapiga ten percent
Wameshindwa kumuona hata rashid juma ndio wakachukue ile mashoto inakimbia bila plan uwanjani
Ila boss wa Tp mazembe atakua ameyumba sana kiuchumi
Mazembe inaanza kupotea taaratibu baada ya miaka kumi na tano kwenye pik ya juu
Samatta was smarter before joining to mazembe, of course played some roles to make him greatWabongo! Wabongo! There back at your keyboard buttons criticizing the big power Sport club of Tp Mazembe?
Unadhani una upeo mkubwa Sana kuliko jopo la wataalam wa usajili TP Mazembe? Wanajua wanachokifanya kuliko wewe mtanganyika wa dumila,
Samatta was never such a deal, but Mazembe made him to be who he is now! Football is a game of chance and have turned into business and investment.
Nyamaza usiyoyajua! Waachie wenyewe! Khaaaaa!
Tz tumeshazoea kuwazeesha wachezaji wetu,yaani asipokuwa Yanga au Simba tunaona hana kiwango kizuri,akili hizi ndizo zinazoshusha kiwango chetuNimeshangaa timu bora ya Africa inamsajili Singano hlafu wanawauza wachezaji wao tegemezi wawili kwenda Ubelgiji ambao ni Meshak Elia na Zola
Singano ana miaka 27 ataipa nini TP Mazembe? Angekuwa na miaka 22 tungesema angeweza kudevelop kisoka ila huyu jua limeshazama
Ninavyoona Tp Mazembe wana wakala mtanzania anayewaingiza chaka na anapiga ten percent.
Wameshindwa kumuona hata Rashid Juma ndio wakachukue ile mashoto inakimbia bila plan uwanjani?
Ila boss wa Tp Mazembe atakuwa ameyumba sana kiuchumi
Mazembe inaanza kupotea taaratibu baada ya miaka kumi na tano ya kuwa juu
Kweli sisi waTz hatujui mpira,eti mfuatiliaji wa mpira? Azam fc singano kacheza mechi ngapi kiasi kwamba uliprove ameshuka kiwango? Utakuwa hujui kwamba Singano bado yupo vizuri ila alikuwa anakosa match fitness.Kwa Africa tp mazembe ni zile club pik ya juu
Zinaposajili mchezaji wa kigeni lazima awe na uwezo mkubwa kiliko wachezaji wazawa sasa unaweza kuona singano ana nini? Kama kweli ni mfuatiliaji wa mpira
Umbumbumbu unawasumbua sana mkuuManara na genge lake walitamani kumuona messi anacheza GWAMBINA
Singano Hana miaka 27 acha uongo Kama Ajibu ana miaka 23 na ndemla 22 singano kafikaje 27?Hahahahahahahahah mchezaji wa miaka 27 sio mchezaji wa majaaribio sio mchezaji wa kumuweka sawa kisaikolojia wala utimamu wa mwili ,27 years old ni mchezaji wa kwenda kuisaidia timu sio mchezaji wa majaribio wala Development.