Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafanya hii bishara mkuu1. Market research: angalia Target market yako unauza wapi, location yako itakupa aina gani ya vifaa ununue
Mfano: unauza hizo accessories mbagala halafu unajaza spare za iPhone na pixel hapo hamna la maana
2. Wewe anza kipindi unafanya bishara utazid kugundua preferences za wateja wako
3. Tafuta supplier atakaekuuzia hizo accessories at the lowest cost as possible ili uweze kuongeza Margin.
4. Usinunue vitu fake/cheap ukawauzia wateja... Business is about Trust, ukiharibu hapo ushakosa long term customers
Asante kwa Neno hili1. Market research: angalia Target market yako unauza wapi, location yako itakupa aina gani ya vifaa ununue
Mfano: unauza hizo accessories mbagala halafu unajaza spare za iPhone na pixel hapo hamna la maana
2. Wewe anza kipindi unafanya bishara utazid kugundua preferences za wateja wako
3. Tafuta supplier atakaekuuzia hizo accessories at the lowest cost as possible ili uweze kuongeza Margin.
4. Usinunue vitu fake/cheap ukawauzia wateja... Business is about Trust, ukiharibu hapo ushakosa long term customers
Naona vitu bingo vinatoka China! Maana yake hata huko kuna fake japo wanatengeneza wao1. Market research: angalia Target market yako unauza wapi, location yako itakupa aina gani ya vifaa ununue
Mfano: unauza hizo accessories mbagala halafu unajaza spare za iPhone na pixel hapo hamna la maana
2. Wewe anza kipindi unafanya bishara utazid kugundua preferences za wateja wako
3. Tafuta supplier atakaekuuzia hizo accessories at the lowest cost as possible ili uweze kuongeza Margin.
4. Usinunue vitu fake/cheap ukawauzia wateja... Business is about Trust, ukiharibu hapo ushakosa long term customers
Yah ni kujiandaa kisaikolojia tu.Kwa hali hii biashara nyingi zinaishi maisha hayo
Hongera Sana mkuu kila la kheri biashara vipi lakiniNgoja nijiweke hapa,
Mimi nmeanza kuifanya, npo uswahilini ,
Charger nimeleta za uwezo tofauti tofauti so mteja nampaga kabisa kabla ya kumuuzia,betr pia nmeeka Og na fake nampaga pia ili akichukia feki ata ikizingua harudi kulalamika bali anarudi kununua lingine, makava nmedili na ya infinix na tecno sms au iPhone nachukua mzigo kwa Oda ,protecter za infinix na tecno ndo nyingi kutokana na location yangu,
Kwa kifupi sana,kuna mdau hapo juu kamaliza kila kitu kwa kuse ma mzigo utachukua kutokana na location ulokuwepo.
Sawa kabsa, najifunza zaidi hapa1. Market research: angalia Target market yako unauza wapi, location yako itakupa aina gani ya vifaa ununue
Mfano: unauza hizo accessories mbagala halafu unajaza spare za iPhone na pixel hapo hamna la maana
2. Wewe anza kipindi unafanya bishara utazid kugundua preferences za wateja wako
3. Tafuta supplier atakaekuuzia hizo accessories at the lowest cost as possible ili uweze kuongeza Margin.
4. Usinunue vitu fake/cheap ukawauzia wateja... Business is about Trust, ukiharibu hapo ushakosa long term customers
Ufafanuzi kidgo mkuu! Mimi ni fundi pia na nataka nifanye hii kituungekuwa ni fundi pia ungeula
Umewahi kuuza hata karanga?1. Market research: angalia Target market yako unauza wapi, location yako itakupa aina gani ya vifaa ununue
Mfano: unauza hizo accessories mbagala halafu unajaza spare za iPhone na pixel hapo hamna la maana
2. Wewe anza kipindi unafanya bishara utazid kugundua preferences za wateja wako
3. Tafuta supplier atakaekuuzia hizo accessories at the lowest cost as possible ili uweze kuongeza Margin.
4. Usinunue vitu fake/cheap ukawauzia wateja... Business is about Trust, ukiharibu hapo ushakosa long term customers
Upate mtu muaminifu, wengi wapigajiAsante mkuu lakini kuagiza China naona ni rahisi kwa mtaji mdogo
Ngoja nijiweke hapa,
Mimi nmeanza kuifanya, npo uswahilini ,
Charger nimeleta za uwezo tofauti tofauti so mteja nampaga kabisa kabla ya kumuuzia,betr pia nmeeka Og na fake nampaga pia ili akichukia feki ata ikizingua harudi kulalamika bali anarudi kununua lingine, makava nmedili na ya infinix na tecno sms au iPhone nachukua mzigo kwa Oda ,protecter za infinix na tecno ndo nyingi kutokana na location yangu,
Kwa kifupi sana,kuna mdau hapo juu kamaliza kila kitu kwa kuse ma mzigo utachukua kutokana na location ulokuwepo.