Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashauri aweke vitu gani mkuu?Ni biashara nzuri kulingana na location ila inahitaji umakini mno kama alivyo sema mdau hapo juu changamoto ya vitu feki ni kubwa mnoo na changamoto ya makava huwa si shauri sana kuweka dukani kwako sababu ni fashion zake ni nyingi mno
Anza na ulichonacho Mkuu utanishukiru badaeMtaji wake una range vipi kiongozi
Mungu ni MwemaHongera Sana mkuu kila la kheri biashara vipi lakini
Protection ni rahisi kuuzikaUnashauri aweke vitu gani mkuu?
Habari za majukumu,
Nani anaijua biashara ya accessories za simu kama cover, glass, spare no?
Tusaidie kujua ni Vitu gani mtu afanye kama anaanza ni cover or glass zipi aanze nazo.
Asante kwa comment yako, najua itawasaidia wengi.
View attachment 2451270
Na zenyewe zina feki pia?
unataka kuuza vifaa mchanganyiko, cover za simu ndogo na kubwa, earphone, earbuds, charger, usb, radio za kuchaji, simu ndogo. inategemea na eneo ulipo. ukiwa na laki tano duka linajaa ndiBoss, kwa uzoefu wako angalau kaduka kaonekane yanipasa kuwa na mtaji kiasi gani?
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Umewahi kuuza hata karanga?
Wewe hauna duka wala meza ya hizo accessories acha uongoNauza simu & accessories siuzi Karanga
unataka kuuza vifaa mchanganyiko, cover za simu ndogo na kubwa, earphone, earbuds, charger, usb, radio za kuchaji, simu ndogo. inategemea na eneo ulipo. ukiwa na laki tano duka linajaa ndi
kama unajua bei ya hizo bidhaa hapo juu kwa dampo letu kkoo huwezi shangaa, pia ukubwa wa sehemu ya kuuzia hutofautina.Mkuu laki5 seriously
nimelenga vya bei rahisi mkuu, vya kujiokotea kwa mafungu. kama hujui chimbo za kkoo ndo utabaki unashangaa.Laki 5 usd ama shilling?watu huwa mnarahisisha sana vitu
Wewe hauna duka wala meza ya hizo accessories acha uongo