Nani anaipotosha mamlaka ya uteuzi kiasi cha kufanya makosa yanayofedhehesha?

Nani anaipotosha mamlaka ya uteuzi kiasi cha kufanya makosa yanayofedhehesha?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Watanzania tulishaaminishwa kuwa mamlaka ya uteuzi ni mamlaka kubwa ambayo ina vyanzo mbalimbali vya kupata habari.

Pia tulishaambiwa kuwa mamlaka ya uteuzi huwa inafanya vetting ili kupata wateule wanokidhi vigezo kwa namna yoyote ile.

Sasa haya ya kuteua makada wa CCM ambao hata vigezo hawana yanatoka wapi?

Kimuundo wa utumishi wa umma Ras ni mtu ambae anatakiwa awe professional maana ndie mshauri mkuu wa sekretariet ya mkoa juu ya masuala yote ya kuendesha serikali. Inakuwaje kada wa CCM ambae ameishia form four ateuliwe?

Ile saga ya Tpdc ndio ilikuwa aibu kubwa sana. Maana aliyeteuliwa kuwa DG wa Tpdc hafai kuwa hata meneja wa hoteli, lakini ilishangaza watu mamlaka kubwa ya uteuzi kumpa kazi nyeti kama ile.

Nani anaidanganya mamlaka ya uteuzi? Au kuna mtu huwa anachomeka majina yake bila idhini ya mamlaka?
 
PENDEKEKEZO:
Kabla yakuidhinishwa wateule kwenye nafasi za utendaji.

Isomeke Rais anakusudia Kumteua CHAKUPANGA kuwa kiongozi Fulani.

Baada ya siku kadhaa waidhinishwe wasio namakandokando.

Vetting ziko huku mitaani na maofisini kwa jamii.Tutapunguza uvyama ukanda na ukabila.
 
Kwa haya yanayo tokea rais asiwaamini hao wanaomzunguka,hata kama ni jamaa zake.Huenda wakiambiwa tu na rais nitafutieni mtu wa kujaza nafasi fulani wanademkia kwa marafiki zao hata kama hawana vigezo.Mwishowe anaonekana rais hana uhakika na maamuzi yake.
 
Kimuundo wa utumishi wa umma Ras ni mtu ambae anatakiwa awe professional maana ndie mshauri mkuu wa sekreyariet ya mkoa juu ya masuala yote ya kuendesha serikali. Inakuwaje kada wa CCM ambae ameishia form four ateuliwe?
Tafadhali mtaje huyo kada aliyeishia form four!
 
PENDEKEKEZO:
Kabla yakuidhinishwa wateule kwenye nafasi za utendaji.

Isomeke Rais anakusudia Kumteua CHAKUPANGA kuwa kiongozi Fulani.

Baada ya siku kadhaa waidhinishwe wasio namakandokando.

Vetting ziko huku mitaani na maofisini kwa jamii.Tutapunguza uvyama ukanda na ukabila.
Wazo lako ni zuri sana
 
Mtu amejichokea home,ghafla anateuliwa anaanza kuwasiliana na fundi akashone suti ya kwendea Ikulu, ghafla anatenguliwa daaah inasikitisha na kuumiza sana
 
Watanzania tulishaaminishwa kuwa mamlaka ya uteuzi ni mamlaka kubwa ambayo ina vyanzo mbalimbali vya kupata habari.

Pia tulishaambiwa kuwa mamlaka ya uteuzi huwa inafanya vetting ili kupata wateule wanokidhi vigezo kwa namna yoyote ile.

Sasa haya ya kuteua makada wa CCM ambao hata vigezo hawana yanatoka wapi?

Kimuundo wa utumishi wa umma Ras ni mtu ambae anatakiwa awe professional maana ndie mshauri mkuu wa sekreyariet ya mkoa juu ya masuala yote ya kuendesha serikali. Inakuwaje kada wa CCM ambae ameishia form four ateuliwe?

Ile saga ya Tpdc ndio ilikuwa aibu kubwa sana. Maana aliyeteuliwa kuwa DG wa Tpdc hafai kuwa hata meneja wa hoteli, lakini ilishangaza watu mamlaka kubwa ya uteuzi kumpa kazi nyeti kama ile.

Nani anaidanganya mamlaka ya uteuzi? Au kuna mtu huwa anachomeka majina yake bila idhini ya mamlaka?
Yote hayo amejitakia mwenyewe Samia kwa kuchomoa walikuwepo

Hakuna hoja ya msingi ya tengua teua inayoendelea
 
Km huu ndo umakini wetu ktk kuteua...vp umakini wetu kwenye kupitia na ku sign mikataba?au ndo tutasign kwanza then tunauvunja after a day or two baada ya kuupitia na kugundua tumekosea?
 
Samia mgeni wa ile ofisi sijui ataizoea lini japo alishashika nafasi ya juu serikalini VP, anaonekana anamsikiliza kila mtu ndio maana haishi kufanya makosa, lazima awe na msimamo wake, akumbuke miluzi mingi humpoteza mbwa.
 
..Jpm angekomaa na uteuzi wa dg wa tpdc na mataga wangeunga mkono.

..kuna teuzi nyingi Jpm alikuwa akifanya madudu lakini wachache walikuwa na ujasiri wa kuhoji.
 
..Jpm angekomaa na uteuzi wa dg wa tpdc na mataga wangeunga mkono.

..kuna teuzi nyingi Jpm alikuwa akifanya madudu lakini wachache walikuwa na ujasiri wa kuhoji.
Kweli mkuu, alikomaa na Bashite pamoja na uchafu wote aliokuwa anafanya, then wasukuma wote walioshindwa kura za maoni ubunge akawapa ukurugenzi, akachomoa watangazaji wa clouds akawaweka kwenye utumishi ya umma! Ila mipuuzi kama huyu mleta mada walikuwa kimyaaa
 
PENDEKEKEZO:
Kabla yakuidhinishwa wateule kwenye nafasi za utendaji.

Isomeke Rais anakusudia Kumteua CHAKUPANGA kuwa kiongozi Fulani.

Baada ya siku kadhaa waidhinishwe wasio namakandokando.

Vetting ziko huku mitaani na maofisini kwa jamii.Tutapunguza uvyama ukanda na ukabila.
Wazo konki
 
Watanzania tulishaaminishwa kuwa mamlaka ya uteuzi ni mamlaka kubwa ambayo ina vyanzo mbalimbali vya kupata habari.

Pia tulishaambiwa kuwa mamlaka ya uteuzi huwa inafanya vetting ili kupata wateule wanokidhi vigezo kwa namna yoyote ile.

Sasa haya ya kuteua makada wa CCM ambao hata vigezo hawana yanatoka wapi?

Kimuundo wa utumishi wa umma Ras ni mtu ambae anatakiwa awe professional maana ndie mshauri mkuu wa sekreyariet ya mkoa juu ya masuala yote ya kuendesha serikali. Inakuwaje kada wa CCM ambae ameishia form four ateuliwe?

Ile saga ya Tpdc ndio ilikuwa aibu kubwa sana. Maana aliyeteuliwa kuwa DG wa Tpdc hafai kuwa hata meneja wa hoteli, lakini ilishangaza watu mamlaka kubwa ya uteuzi kumpa kazi nyeti kama ile.

Nani anaidanganya mamlaka ya uteuzi? Au kuna mtu huwa anachomeka majina yake bila idhini ya mamlaka?
Sukuma Gang bado MAMA Kawakumbatia ngoja Wazidi Kumpotosha
 
Ina maana hawakujua?

All in all haileti picha nzuri
Somebody smwhr is not doing their job properly
 
Watanzania tulishaaminishwa kuwa mamlaka ya uteuzi ni mamlaka kubwa ambayo ina vyanzo mbalimbali vya kupata habari.

Pia tulishaambiwa kuwa mamlaka ya uteuzi huwa inafanya vetting ili kupata wateule wanokidhi vigezo kwa namna yoyote ile.

Sasa haya ya kuteua makada wa CCM ambao hata vigezo hawana yanatoka wapi?

Kimuundo wa utumishi wa umma Ras ni mtu ambae anatakiwa awe professional maana ndie mshauri mkuu wa sekreyariet ya mkoa juu ya masuala yote ya kuendesha serikali. Inakuwaje kada wa CCM ambae ameishia form four ateuliwe?

Ile saga ya Tpdc ndio ilikuwa aibu kubwa sana. Maana aliyeteuliwa kuwa DG wa Tpdc hafai kuwa hata meneja wa hoteli, lakini ilishangaza watu mamlaka kubwa ya uteuzi kumpa kazi nyeti kama ile.

Nani anaidanganya mamlaka ya uteuzi? Au kuna mtu huwa anachomeka majina yake bila idhini ya mamlaka?
I hope wameshamuondoa huyo anayemhujumu mama
 
Inawezekana ni Msigwa tu huwa anaongeza na majina yake wakati wa press release.
 
Back
Top Bottom