Ras wa geita aliyetenguliwa!Tafadhali mtaje huyo kada aliyeishia form four!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ras wa geita aliyetenguliwa!Tafadhali mtaje huyo kada aliyeishia form four!
Zitaje..Jpm angekomaa na uteuzi wa dg wa tpdc na mataga wangeunga mkono.
..kuna teuzi nyingi Jpm alikuwa akifanya madudu lakini wachache walikuwa na ujasiri wa kuhoji.
Jk, msoga gang leader!Nani anaidanganya mamlaka ya uteuzi? Au kuna mtu huwa anachomeka majina yake bila idhini ya mamlaka?
Bashiru CSZitaje
Tafadhali mtaje huyo kada aliyeishia form four!
Unapotoa tuhuma kama hizi weka na evidence
Bro hawa uliotaja hawana hata kanyuzi kakuzugia? Maana ya Form 4 kuwa RAS ni aibu.
Yule bibie hana kanyuzi ka uchumi?..kwani yule Mzenj Naibu Waziri Fedha ana elimu gani?
..mbona kuna Wazenj kibao wana elimu na experience ya kutosha kuteuliwa ktk nafasi.
..wizara muhimu kama fedha teuzi zake zinatakiwa zifanywe kwa umakini mkubwa.
..I doubt it.Yule bibie hana kanyuzi ka uchumi?