......Leo Tushare Experience juu ya Hizi chupi, ambazo Ziliingia Tz Miaka ya Themanini Hivi.....Muonekano zina Rangi rangi nyingi Sana, na pia Zinabana Sana,
Hizi chupi zimewalemaza Sana wanaume muonekano wa mizigo yao, lazima mdau yoyote aliyevaa hizi Ndude lazima Mzigo upinde, either Upinde kuelekea kushoto au Kulia,
Pia Hizi chupi Lazima Katikati zikatike, na inakulazimu kushona Mara kwa Mara.
Tatu zinakawaida ya kupanda juu zenyewe zikikatika, Usipokuwa makini waweza zikuta zimefika Shingoni. Hahahahahahahaha
#NYIE VIJANA WAKATI HUO HAKUNA BOXER WALA NN?
......Ukikosa VIP Basi wewe ndo Mchovu.
Share ur experience about this shiit Chupi.