Nani anakumbuka muungano wa Madilu System na Franco?

Nani anakumbuka muungano wa Madilu System na Franco?

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
455
Reaction score
877
Jamani mwenye historia kidogo kuhusu uliokua muungano kati ya Madilu na Franco. Ilikuje wakaungana wakati Franco alikua na bendi yake. Na hatma yao ilkua je?
 
Jamani mwenye historia kidogo kuhusu uliokua muungano kati ya Madilu na Franco. Ilikuje wakaungana wakati Franco alikua na bendi yake. Na hatma yao ilkua je?
Nijuacho kidogo ni kwamba Franco Lwambo Makiadi alikuwa na bendi moja ya watu wachache ila HATARI SANA ila alikuwa anamtumia Madilu kwasababu Madilu alikuwa mkali kwenye Chorus kutokana na sauti yake.

Kama kwenye ule wimbo wa "Mamou" ni shiiidah haswa kwenye gitaa analopiga Franco.
 
Back
Top Bottom