Hahaha.....tutajua huko huko ha ha
Sikushibokei wala Nini...Wacha we...
Kumbe nami sivumi lakini nimo
Nakaa nae nae mbali mita 400..kabisa kaa mbali nae huyo ha ha ha
Kuna kibabu kimoja hivi...sikitaji...kiharibifu.
kwa nn lakini ?kabisa kaa mbali nae huyo ha ha ha
Kupendwa,disco bila wanawake halijanoga!Kushobokewa manake nn kwanza mkuu,
muombe ile pic ww labda unaweza kuipenda usiusemee moyoNakaa nae nae mbali mita 400..
Uzuri yule ni waangu peke angu....
Ulivyotuma koromije yako kwa sifa ulitegemea nini? Pambana na hali yako..kwa nn lakini ?
Mkuu huyu tumeshampoteza tayari kwenye ulimwengu wa wanaume marijali.Ameamua kutumia tafsida,angesema tu moja kwa moja bila kupindisha maneno kwamba yeye ni shoga basi kuliko kujizungusha kwa kujiita transgender.
me nawaambia ukweli wasije lia lia baadae humukwa nn lakini ?
vizuriNakaa nae nae mbali mita 400..