Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
unawabania wenzako ujuehuyo ni mtekaji hana hata laki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unawabania wenzako ujuehuyo ni mtekaji hana hata laki
haya me nikae mbali naonaga mnasutana humu ndani usije sutwa na wewe ha haahaunawabania wenzako ujue
Hahahaahhaaa... aliona hata umpe million angeshindwa bora akijitoa mapema.aliharibu mwenyewe akaniambia niipige picha nimtumie ikiwa kolomije, nilivyo mwehu nikatuma kweli.
akapote mazima .. adi sa ivi najutaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hebu nitafute uje Na jelly au coconut oilDuh
Wewe mleta mada si wa kiume wewe?
Sasa unaanzaje kuwapenda wanaume wenzako?
Hapo kwa wadada umewachomekea tu,inaonesha wewe ndio unawahusudu hao uliowataja na hizo ni dalili za ushoga wa waziwazi kabisa.
Michepuko yako itanitoa kafara lakinii ukweli wajua....Sivumi lakini nimo...
Mbona hujanitaja kama huwa nakuvutia??
Mkuu mleta mada kajitaja kua ni transgender! Hivi vitoto ni majanga aisee!! Kashindwa kusema direct kua anawazimia hao wanaume kaamua kuja kivingine indirect kwa kuwatumia wadada!! Wazazi wake wana hasara kubwa aisee Hance MtanashatiDuh
Wewe mleta mada si wa kiume wewe?
Sasa unaanzaje kuwapenda wanaume wenzako?
Hapo kwa wadada umewachomekea tu,inaonesha wewe ndio unawahusudu hao uliowataja na hizo ni dalili za ushoga wa waziwazi kabisa.
Hayo ya kujilipua tuwaachie waarabu tu na wasomali... somo akisema mahali hagusi mwali ndo hata kupawaza haitakiwi..maneno mengi huyu labda kama ujilipue
Kosa makalio omba nyotaNimekuja Na Mbio Zangu Kamshange
Nilichokishuhudia Siamini.
Napambana Na Hali Yangu.
yani lazima angeleta mrejesho, mjanja sana huyu bintiHahahaahhaaa... aliona hata umpe million angeshindwa bora akijitoa mapema.
Cc Nifahkuna mmoja apo umemtaja ni kweli namzimikia .... Alitangazaga anataka kuoa cjui tayar ashaoa au bado
daa, nimekuona tena. yani mi hoi, si ushaajua?Aiseee ngoja tushuhudie
kabisa kaa mbali nae huyo ha ha haHayo ya kujilipua tuwaachie waarabu tu na wasomali... somo akisema mahali hagusi mwali ndo hata kupawaza haitakiwi..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] au urithi Wa babuke[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38].... bora umenishtua mapema. Asijesiku akanijia na mkwara wa million kumbe finca..
Ameamua kutumia tafsida,angesema tu moja kwa moja bila kupindisha maneno kwamba yeye ni shoga basi kuliko kujizungusha kwa kujiita transgender.Mkuu mleta mada kajitaja kua ni transgender! Hivi vitoto ni majanga aisee!! Kashindwa kusema direct kua anawazimia hao wanaume kaamua kuja kivingine indirect kwa kuwatumia wadada!! Wazazi wake wana hasara kubwa aisee Hance Mtanashati
Aiseee ngoja tushuhudie
Mkojo wako unahitajika kwa mkemia mkuu...