miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
hapana huyo anajipendekeza sana hafai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana huyo anajipendekeza sana hafai
We hatari, kama mpaka somo wangu kakuogopa ujue hufai kwa mchuzi wala kulumangia..tena ya papo kwa papo no mkopo
Kumbukamleta uzi umemsahau mwana mmoja anaandika kizungu kimetulia hivi..sijui anaitwa nani vile.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa hiyo moja hata chumba haitoshi kwa sikutatu sitoi ata kwa dawaa
Jiangalie na lugha unayotumia usije jikuta unaanzisha vita usiyoiweza ikavuruga na hiki kithd chako, sawa Shangazi?
Halafu hao wenye mvuto kwenye pochi huwa ziiiiii....ha hahaha pesa bwana mvuto hata mbuzi anao
Le akili kubwa you knowLe mutuz??? Dah!
aliharibu mwenyewe akaniambia niipige picha nimtumie ikiwa kolomije, nilivyo mwehu nikatuma kweli.We hatari, kama mpaka somo wangu kakuogopa ujue hufai kwa mchuzi wala kulumangia..
maneno mengi huyu labda kama ujilipueWe hatari, kama mpaka somo wangu kakuogopa ujue hufai kwa mchuzi wala kulumangia..
Nenda jukwaa la siasa utamkuta magu au lissuJf siku hizi imekuwa ya ajabu sana nyuzi kama hizi siku hizi ndio zinapata wachangiaji wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
tutajua huko huko ha haHalafu hao wenye mvuto kwenye pochi huwa ziiiiii....
Nawaza tuu kwa sauti jamanii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Halafu hao wenye mvuto kwenye pochi huwa ziiiiii....
Nawaza tuu kwa sauti jamanii
Njoo uthibitishe sex yanguInashangaza sana kwa kweli.
Huyu tumeshampoteza tayari.
Jiangalie na lugha unayotumia usije jikuta unaanzisha vita usiyoiweza ikavuruga na hiki kithd chako, sawa Shangazi?