Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
AiseeeeWatu wenyewe nimewasahau majina nikikumbuka nitakwambia
Hizooo kamba sasaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeeWatu wenyewe nimewasahau majina nikikumbuka nitakwambia
Hahahahaha hilo neno umenikumbusha mbali kweliAiseeee
Hizooo kamba sasaaa
Mdogo wangu nn tena jamani,mekumiss kwanza ujue
HahahaHahahahaha hilo neno umenikumbusha mbali kweli
kuna mmoja apo umemtaja ni kweli namzimikia .... Alitangazaga anataka kuoa cjui tayar ashaoa au bado
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]. Yani unaniuakwa kicheko... embu ninywe zangu bia mieeOooh
We cheka tuu mwaya[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]. Yani unaniuakwa kicheko... embu ninywe zangu bia miee
daaahIngawa wanasema uzuri Upo kwa anayeona(beautiful is on the eye of the beholder)
Pia ingawa wanawake ni wagumu sana kueleza hisia zao kwa mwanaume wanayempenda at the first time ila hubaki Na ukweli huo moyoni Na aghalabu hujaribu kuzieleza au kufikisha hisia hizo kwa
Lugha ya mwili(body language)
Jf wanawake Na wasichana hawajawahi kuwashuhudia muonekano Wa men wengi Wa jf
Ila wakati mwingine hushawishika
Kukubali miadi Na hatimaye kuonana ana kwa ana au hata kutikisana nyavu!
Mwanamke huyu je anakuwa amevutiwa Na mwandiko au intelligence ya mwanaume?
Isitoshe wapo wanawake jf ambao hukili wazi kuwa kuna mwanaume anampenda humu ila anahofia kumuanika
Tangu nimekuwa member hapa kwa ka research kadogo(uchunguzi)
Nimebaini mwanaume wafuatao wanashobokewa sana humu
Samahani nitakao wataja bila idhini yenu ashakumu si matusi
Daby,smart 911
Nyani ngabu
Le mutuz
Saint ivuga
B40
The bold
Ontario
Wakina dada fungukeni mnawapendea nini hawa jamaa maana unaweza kukuta ni wapiga debe tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nicheke mie nisogeze siku..We cheka tuu mwaya
Agiza mpenzi.. zinaweza zikafaa baadae maana weekend ndo kwanzaaaaaaaa imeanzaKo niagize sioo