Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Hata wine??Mie sio muumini ila Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wine??Mie sio muumini ila Asante
We Mangi jibu bhanaaww unahadithiwa afu unaniuliza?
Sent From Ikulu-Magogoni street
Ukitaka kula shurti uliweUnataka kunila wifi angu mpenz akiwa wapi?? Mi ninazo adabu sili ndugu wa mama..
Hahahah....
Bibiee unataka kukaribia Umangini?We Mangi jibu bhanaa
Sio wivu bhanaa... Nimeuliza tuu ujue naenda nao njia mojaMie wachaga wote wa kiume wajomba zangu maana siwezi kuwala.. angekua mkurya nikimuita mjomba mulika mwizi.
kwani na wewe una wivu mpenzi?
Mi inabidi nianze kukupenda sasa, lol. Watu wazima wakipendana raha ujuwe[emoji12]
Joseverest Na mchawi mshana JrMimi nampendaga Joseverest na mshana jr
Hata wine??
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukitaka kula shurti uliwe
Achana navyo kabisaa havikufai ujueHahahhahah
madhara ya kuishi na wazaramo ndio haya..
vijitabia vyenu havijaniacha salama
Sent From Ikulu-Magogoni street
Amaaaaa..Sio wivu bhanaa... Nimeuliza tuu ujue naenda nao njia moja
Labda juiceHata wine??
Nipitie twende wote Mbiti[emoji12] [emoji12] [emoji1] magomeni au mwenge?hahahah mie kuna stage nimerukaga!naziona humu sasa! chei cheit! mtu anapanick live kisa mwanamume wa jf hahaha yupo tayar kwa lolote qwi qwi!! ngj nikafungue sabato mie....
HahahaJukwaa la chekechea lol!
Mbona mnanishambulia jamani? Mada inauliza nampenda nani, unaniambia niache story za mitandao kivipi wakati swali limeulizwa mtandaoni na watu tunaotakiwa kuwataja ni wa hapa mtandaoni?watafutaji huwa hawapigi kelele...
wapo busy, achana na stori za mitandao mama
Sent From Ikulu-Magogoni street