Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Nimekuuliza wajua kisomboko????ww wa mujini, tena sijui mnyaki
Sent From Ikulu-Magogoni street
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuuliza wajua kisomboko????ww wa mujini, tena sijui mnyaki
Sent From Ikulu-Magogoni street
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hamna Hata mmoja hapoWanashobokewa au unawashobokea?
Wanashobokewa na nani??
Kwa kifupi sijaona labda useme umekuja na lifekero lako ujifungulie Uzi ujiweke kwenye list.
Mwanaume michango ya maana bana, na siyo idadi ya wadada anao chitchat nao [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].
Kwenye hiyo list..
Nyani Ngabu
le mutuz
The bold
ONTARIO
Ongeza
The Boss
mshana jr
Mzizi mkavu
Na wengineo wenye michango inayoeleweka,
Sasa baada ya kuweka list yangu nasema hiviii..nawashobokea kwa sababu wana michango ya maana inayojenga.
Uki mind njoo Nipige nipo nyumbani.
Duu[emoji125] [emoji125]Kama kuna watu wamesha kukaza humu basi usimtaje huyo Jamaa.
HayaTumekuja kukaa jirani na wizara ya fedha na benki kuu. Ili tuangalie namna ya kuchenjua makinikia
ww unahadithiwa afu unaniuliza?Nimekuuliza wajua kisomboko????
Acha hizooo mambo bhanaa... Tuachie wazaramo sieNitaendelea kukusisitiza, acha mambo ya kitoto, mambo ya kishamba.
Hata huyo mchizi inaweza kuwa anakuvumilia tu, na km halion hilo basi na yeye mshamba tu
Sent From Ikulu-Magogoni street
Komaa, kuna mwewe wanataka kumega mali zako.
Koh koh[emoji2]
balimi ndo nini tena?? nakunywa Heineken, burudani tupu.. karibu mikocheni tupunguze stress mama.Endelea kuazimisha siku ya balimi.... Maana sio kwa cheko hilo
watafutaji huwa hawapigi kelele...Nampenda ONTARIO ... (sio kimapenzi). Nahisi ni mwanaume anayejitambua pia mtafutaji.
Basi tutakukula wewe.Mie wachaga wote wa kiume wajomba zangu maana siwezi kuwala.. angekua mkurya nikimuita mjomba mulika mwizi.
kwani na wewe una wivu mpenzi?
Usijali BAK... Nimekuona upande wa pili kule ujue!!!! Ngastukaaa
Mie sio muumini ila Asantebalimi ndo nini tena?? nakunywa Heineken, burudani tupu.. karibu mikocheni tupunguze stress mama.
Unataka kunila wifi angu mpenz akiwa wapi?? Mi ninazo adabu sili ndugu wa mama..Basi tutakukula wewe.
Maana hamna namna tena
HahahhahahAcha hizooo mambo bhanaa... Tuachie wazaramo sie
MmmmhMh! mbona leo sijapita huko?