Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Transcend njooo!Mazoezi yepi hayo Sakayo? Ya kiuno au wowowo? Nauliza tu.
Si unajua Sakayo hajui hivi vinywaji vyetu ye anataja tu anachokisikia... Smirnoff nakuachia wewe mama. Ilinitendaga kitu siwez isahau.. acha nipambane na Heineken na Glenfidich tuu..balimi za washamba shamba!mwanamke kunywa balimi unaharibu utaifa wako!lol,,,kitu heeinken,smirnof blak ice mweee
NdiooUmeona eeh!
Mmmmmmmmh...Kulala chali, kifudi fudi au kiubavu ubavu?
Unipe kabisa nisuuze rungu la mgambo!!!Ulitaka nikutaje wewe ati?
YeeeduuuUkiishia njia panda utakuwa umeosha nyota, kudate na mangi ni degree tosha
Sent From Ikulu-Magogoni street
Mmmmhbalimi za washamba shamba!mwanamke kunywa balimi unaharibu utaifa wako!lol,,,kitu heeinken,smirnof blak ice mweee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Mkuu wikend inaenda kombo, kontena langu limekwama bandarini
Sent From Ikulu-Magogoni street
HahahaHahahahahaha lol! unataka kuupima? Kibali cha kupima mikojo umekipata wapi? 🙂🙂
Mwanaume pesa na machine baaaaas, mengine mbwembwe tuPesa, pesa, pesa.
Sent From Ikulu-Magogoni street
Si unajua Sakayo hajui hivi vinywaji vyetu ye anataja tu anachokisikia... Smirnoff nakuachia wewe mama. Ilinitendaga kitu siwez isahau.. acha nipambane na Heineken na Glenfidich tuu..
UsingiziiiKulala chali, kifudi fudi au kiubavu ubavu?
Mtaje espyKuna kichwa kimoja haujakitaja hapo,yaani huyo ni noma.
EMT