Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kwani umeona mimi nachombezana na mwanaume mwenzangu???...... Mimi nimewaonya baada ya kuona wewe na ke mwenzako mkiwa mnachombezana hapo juu mubashara kabisa mchana kweupe!!Na wewe kuwa makini usije ukagegedwa. Siku hizi kupumuliwa kisogoni dakika 0 tu.
Safi kujipenda mwenyeweVladimirovich Putin .
Kwani wewe haujawahi kuonana na mtu wa jf???Pamoja Na Majina Fake Kumbe Mnajuana
Acha u.s.nge mtoa mada umemwelewa hujamwelewa? Unawaza tuu ngono kwenye kichwa chako. Haya kakojoze mbupu msinyao huko ulale.Kwani umeona mimi nachombezana na mwanaume mwenzangu???...... Mimi nimewaonya baada ya kuona wewe na ke mwenzako mkiwa mnachombezana hapo juu mubashara kabisa mchana kweupe!!
Wambea kuliko hata wadada. Wanakurupuka kama wameng'atwa na siafu kwenye ma.ke.nde.Kwa kupatia comment tu nimejua wanaume wenye tabia za kimama. Tena wale wakabaki vibarazani na khanga zao mchana kweupe.
Hivi unajua kuchombezana kweli wewe? Demu wako ana hasara,huko nako kuchombeza!!!Kwani umeona mimi nachombezana na mwanaume mwenzangu???...... Mimi nimewaonya baada ya kuona wewe na ke mwenzako mkiwa mnachombezana hapo juu mubashara kabisa mchana kweupe!!
Acha tu ,,hapa dunian usingojwe upende [emoji23] [emoji23] [emoji23] jipende kwanza we ,ndo atafata wakukupenda.Safi kujipenda mwenyewe
Ha ha ha ha ha ha haaaa. Nimecheka mpaka nimepaliwa. Brigedia katika cheo chakoAcha u.s.nge mtoa mada umemwelewa hujamwelewa? Unawaza tuu ngono kwenye kichwa chako. Haya kakojoze mbupu msinyao huko ulale.
Demu wake mwenyew anachapiwa.Hivi unajua kuchombezana kweli wewe? Demu wako ana hasara,huko nako kuchombeza!!!
Ama kweli kuna mapenzi na kuna wabaosibdikiza mapenzi
Yah ni kweli kabisaAcha tu ,,hapa dunian usingojwe upende [emoji23] [emoji23] [emoji23] jipende kwanza we ,ndo atafata wakukupenda.
Wanaume siku hizi wambea wanatushinda Dada zao. Siajabu ana Mchezo ya kupumuliwa so kila mmoja anadhani wa mapenzi wa jinsia mojaWambea kuliko hata wadada. Wanakurupuka kama wameng'atwa na siafu kwenye ma.ke.nde.
Yanaboa. Kwanza mtoa mada hajaongelea wapenzi. Kasema mtu anayekuvutia unatamani kuonana naye..yenyewe yanarukaruka tuu kama popcorn.Ha ha ha ha ha ha haaaa. Nimecheka mpaka nimepaliwa. Brigedia katika cheo chako
Hapo sasa...maneno ya kawaida kabisa yamemtia mihemko .Demu wake mwenyew anachapiwa.
Kama hayo maneno ya kawaida yamempa Ny.ege unategemea kitandani anaweza kitu zaidi ya kuchapiwa?