Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume mimi nitamtaja...Dada yangu emmyta namkubali sana .bado najifunza kutoka kwake...nampenda sana hata kama huu Uzi unataka wanaume ndo wataje.
Yaha hongera kama umeliona hilo.Mwanaume mimi nitamtaja...
emmyta huwa anajua lazima nimtaje....
Sijui kwanini ila ananivutia sana, avatar yake ni ya upole, lkn pia maneno yake yana hekima...
She is my queen hapa jamvini
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Mrs Van....natamani nimtafune hadi mifupa
Ikitokea nikakutana nae mubashara,,,,,,,,,,,,,,,,,Rubii, daaadekii....
Huyu dada ni sooo sexy jamani.
Jana hukunipa mshindo nyuma![emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mahondaw wa Smart911
Endelea kuosha tu rungu, hata mm jana nimeosha langu.
Mwanaume mimi nitamtaja...
emmyta huwa anajua lazima nimtaje....
Sijui kwanini ila ananivutia sana, avatar yake ni ya upole, lkn pia maneno yake yana hekima...
She is my queen hapa jamvini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hongera zako mm hilo jina wala simaanishi in short it is a satire or irony!!!!Endelea kuosha tu rungu, hata mm jana nimeosha langu.
Waooo
Nimetajwa karibia na watu wengi hapo sasa nitaonana na wangapi [emoji23][emoji23][emoji23]mamasabrina