MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Wadau naomba tujaribu kuwashindanisha hawa warembo wetu wa humu JF ili tupate atakaetuwakilisha kwenye instagram....Karibuni wadau
Kama anakimbizwa na Eliud KipchogeUmeandika kama unakimbizwa [emoji3]
Yan kwamba hoja zimeisha had tuanze kupiga kura kutafta mermbo wa kushindanisha insta, be serious basiWadau naomba tujaribu kuwashindanisha hawa warembo wetu wa humu JF ili tupate atakaetuwakilisha kwenye instagram....Karibuni wadau
Tena kama anakimbizwa na kitimoto😃Umeandika kama unakimbizwa 😀