Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Mi nakuangalia tuKuna huyu jamaa anajiita Eiyer na mwengine ni BAK huwezi choka kuushibisha ubongo kupitia hawa jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nakuangalia tuKuna huyu jamaa anajiita Eiyer na mwengine ni BAK huwezi choka kuushibisha ubongo kupitia hawa jamaa
sawa mkuuwenye pesa ni akina Mangi, achana na hao masharobaro
Sent From Ikulu-Magogoni street
Asante na wewe pia
Nimejitoa mimi ila wapo wenzio kibao nyie endeleeni kupambana na hali yenuUmekata tamaa mapema sana... pambana kidogo labda na yeye atakupenda. Mi napenda competition mwenzio.. Cc Daby
Eheheheh nasubiria atii ,,tuje tucheke mpaka basiiKaa mkao wa kupokea iPhone 8.....
mtongoze tu mkuu kwa sababu hamna namna!kuna mmoja apo umemtaja ni kweli namzimikia .... Alitangazaga anataka kuoa cjui tayar ashaoa au bado
Yes, hao ndiyo watu bhana.Kuna huyu jamaa anajiita Eiyer na mwengine ni BAK huwezi choka kuushibisha ubongo kupitia hawa jamaa
Babu ujue nina moyoo wa nyama... Naomba Uwe na hurumaMi nakuangalia tu
Tunapambana nayo kama hivi mpenzi.... nikiona watu mnapenda bby mnanifariji kuwa chaguo langu lilikua sahihi.. mnanipa nguvu yakumpenda zaidiNimejitoa mimi ila wapo wenzio kibao nyie endeleeni kupambana na hali yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakina Mangi tumetulia Kimya, hatuna keleleHalafu hao wenye mvuto kwenye pochi huwa ziiiiii....
Nawaza tuu kwa sauti jamanii
Nyie nawaaminia ila kuhonga ndo hamjui aiseeWakina Mangi tumetulia Kimya, hatuna kelele
Sent From Ikulu-Magogoni street
Aisee...Nyie nawaaminia ila kuhonga ndo hamjui aisee
Ni kosa la Jinai kuhonga, nitakupa chakula unachotaka, nguo inayotaka, ila sio pesa mkononi.Nyie nawaaminia ila kuhonga ndo hamjui aisee
Hellooow Khantwe!!! Amich you sanaaaaa Mahondaw is greeting you dadake [emoji113]Nimejitoa mimi ila wapo wenzio kibao nyie endeleeni kupambana na hali yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndo umeamua unichome maini kabisa? Haya bwana ngoja nipambane na hali yanguTunapambana nayo kama hivi mpenzi.... nikiona watu mnapenda bby mnanifariji kuwa chaguo langu lilikua sahihi.. mnanipa nguvu yakumpenda zaidi
Kabisaa wana nondo si kawaida kabisaa!!!Yes, hao ndiyo watu bhana.
Haya bhanaa
Miss u too my dear hujambo wewe?
Nimekununia ujueAisee...