Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
MbutaaNi kosa la Jinai kuhonga, nitakupa chakula unachotaka, nguo inayotaka, ila sio pesa mkononi.
Mchepuko hapaswi kuwa na maendeleo
Sent From Ikulu-Magogoni street
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MbutaaNi kosa la Jinai kuhonga, nitakupa chakula unachotaka, nguo inayotaka, ila sio pesa mkononi.
Mchepuko hapaswi kuwa na maendeleo
Sent From Ikulu-Magogoni street
Shoga angu yupi huyoooMbona yule mkaka sukari ya warembo wa humu MMU hujamuwekaa?
love thé love or hâte thé love.....
Bibie mshamba kweli wewe,
Sipendi wanaume aina ya le mutuzi jamaniLe mutuz??? Dah!
Zimefika. Msalimie mkwe....
Khaaa...!Mbutaa
unaamua kuniua live sio?Nimekuona sweet and I love you more
Nimesema nimekununiaKhaaa...!
R. I. P Mangiunaamua kuniua live sio?
Sent From Ikulu-Magogoni street
Afu nani atakayepata hasara unajua?Nimesema nimekununia
Kufa kubaya huku mama,R. I. P Mangi
Mi inabidi nianze kukupenda sasa, lol. Watu wazima wakipendana raha ujuwe[emoji12]huu uzi ni wa wasichana hakika ngj wafunguke aic kumwambia mtu nakupenda kwa msichana ni WITO! ngoja dada 'zenyu 'tukae kando tukitafuna vipopcorn tartiiiiiiiiiiib!
Sitaki kujua mieeeAfu nani atakayepata hasara unajua?