Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Ooohmrs air!
Mbona umekuja kimtindooo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooohmrs air!
Unajibu kikejeli kejeli. Tatizo lako nini?Humu JF hupaswi kutoka povu,
Sent From Ikulu-Magogoni street
Hahahamshana jr hebu njoo unigeuzie huyu mtu kifanyio chake...anakuita mchawiiii!!!! salalehhh
AiseeeeMh! sasa jukwaa la sie akina chekechea na kuwepo na foleni mbona sioni correlation Sakayo? Kuadmire kazi ya Muumba wetu muhimu sana. Na mimi kwa kweli hupenda sana kufanya hivyo. Bi dada kama kapendeza kwanini nimnyime haki yake? Humwambia tu "Umependeza" na bahati nzuri sijawahi kumwagiwa maji machafu yenye ukoko wa ukali, maji ya moto au kurushiwa matusi ya kwenye viwalo hahahahaha lol!
muulize LadyAJHata simjui
love thé love or hâte thé love.....
HahahaMkuu, tuliza akili, mwili na roho. We're "chitchating" na hakuna mwenye nyege hapa, vipi weekend imeanza salama?
Ukiishia njia panda utakuwa umeosha nyota, kudate na mangi ni degree toshaBabu Asprin ananitoa roho, naweza ishia njia panda
Pesa, pesa, pesa.Unajibu kikejeli kejeli. Tatizo lako nini?
Ya viungo vya mwili... Halafu nina wasi wasi na mkojo wako ujueMazoezi yepi hayo Sakayo? Ya kiuno au wowowo? Nauliza tu.
balimi ndo nini tena?? nakunywa Heineken, burudani tupu.. karibu mikocheni tupunguze stress mama.
VipiUlitaka nikutaje wewe ati?
Balimi ni pombe za walevi, walafibalimi za washamba shamba!mwanamke kunywa balimi unaharibu utaifa wako!lol,,,kitu heeinken,smirnof blak ice mweee
Kulalaa
Ya viungo vya mwili... Halafu nina wasi wasi na mkojo wako ujue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Balimi ni pombe za walevi, walafi
Sent From Ikulu-Magogoni street
Mwanzo Wa hesabu 0Teh teh mapenzi yangu kwake si kihivyo unavyofikiri. Jamaa anajitambua!
AiseeeeWallah vile..