Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Naona ushaazimisha siku ya bia mamy

sijanywa muda kweli kweli mamy nipo kwangu najinywea maji tu hapa![HASHTAG]#shilawadu[/HASHTAG] tym... huku namsubiria mume huenda akawahi kurudi mweeeeee!(tunaambiwa tusilale kabla waume zetu hawajarud ndani,tuwafungulie milango,kuwavua viatu,kuwapakulia chakula) cc Heaven Sent ,espy ,Heloo ,Nalendwa
 
sijanywa muda kweli kweli mamy nipo kwangu najinywea maji tu hapa![HASHTAG]#shilawadu[/HASHTAG] tym... huku namsubiria mume huenda akawahi kurudi mweeeeee!(tunaambiwa tusilale kabla waume zetu hawajarud ndani,tuwafungulie milango,kuwavua viatu,kuwapakulia chakula) cc Heaven Sent ,espy ,Heloo ,Nalendwa
Ha haaaaa alfajiri isije ikakukuta macho kodo.
 
sijanywa muda kweli kweli mamy nipo kwangu najinywea maji tu hapa![HASHTAG]#shilawadu[/HASHTAG] tym... huku namsubiria mume huenda akawahi kurudi mweeeeee!(tunaambiwa tusilale kabla waume zetu hawajarud ndani,tuwafungulie milango,kuwavua viatu,kuwapakulia chakula) cc Heaven Sent ,espy ,Heloo ,Nalendwa
Yaani nacheka Sina Mbavu mieee.... Ko bado hajarudi...

Hahaha Daaaah
 
Ha haaaaa alfajiri isije ikakukuta macho kodo.



hahhaah umejuaje shoo na leo ndo wknd! juzi aliwah wah alifika saa6 usk! leo nadhan saa10! alafu hapo hapo jirani yako

unamuona kila siku saa11 jion yupo hom anazungukia nyumba yake! anakusalimia tu shem habari!hehehe natamanigi

nisijibu uulize hujamuona MR MBITI huko njiani!au umuulize mr mbiti hajatoka job??dadek life is not fair kbs!
 
hahhaah umejuaje shoo na leo ndo wknd! juzi aliwah wah alifika saa6 usk! leo nadhan saa10! alafu hapo hapo jirani yako

unamuona kila siku saa11 jion yupo hom anazungukia nyumba yake! anakusalimia tu shem habari!hehehe natamanigi

nisijibu uulize hujamuona MR MBITI huko njiani!au umuulize mr mbiti hajatoka job??dadek life is not fair kbs!
Hiyo kitu inauma balaa... Kila siku unakuwa wa mwisho kulala, mwenziooo yuko nje daaah
 
hahhaah umejuaje shoo na leo ndo wknd! juzi aliwah wah alifika saa6 usk! leo nadhan saa10! alafu hapo hapo jirani yako

unamuona kila siku saa11 jion yupo hom anazungukia nyumba yake! anakusalimia tu shem habari!hehehe natamanigi

nisijibu uulize hujamuona MR MBITI huko njiani!au umuulize mr mbiti hajatoka job??dadek life is not fair kbs!
Same to me. Tukeshe wote tukiwasubiri..teh teh bado mapema lakini, tuendelee kujimwayamwaya hapa.
 
Back
Top Bottom