Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hhhhhahaha sijawah iskia hyo timu hhhhh!mie namju yeye ni Arsenal fan basi! lakini utaona anaangalia had na za MAN U huko!for wht purpose! mwanaume anaependaa mpira mara nying80% hata upendo anapunguza kwko anahamishia kwenye mampira!hatari sana
Niko poa dear..Nimekumiss dear..Hope uko poa
Si Utamnyamazisha na rungu laukwee wenaye malizana nae kiutu uzima sasa. Mbona ivoo. Haya there you go..nisikuone hapa mpaka kieleweke huko. Zama nae chobingo msomeshe kiume [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sawa somo wangu!! Tena rungu linataka kuoshwaSi Utamnyamazisha na rungu laukwee wenaye malizana nae kiutu uzima sasa. Mbona ivoo. Haya there you go..nisikuone hapa mpaka kieleweke huko. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mahondaw wa Smart911
ha ha haaaaaSi Utamnyamazisha na rungu laukwee wenaye malizana nae kiutu uzima sasa. Mbona ivoo. Haya there you go..nisikuone hapa mpaka kieleweke huko. Zama nae chobingo msomeshe kiume [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mahondaw wa Smart911
Huoni mleta mada mwenyewe ni wivu wa kutaka na yeye ashobokewe ndo uliomfanya alete uzi huu[emoji38] [emoji38] [emoji38]Inaonekana mijamaa mingi ya humu inaenda na kauli mbiu, "siangalii sura au umbo naangalia mchomo".