Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushobokewa humu kwa mada aliyoleta sio rahisi, cha msingi ajipange upya tu, tena aweke lengo la kipuuzi la kuivua bikini ya yule miss mpenda pesa.Huoni mleta mada mwenyewe ni wivu wa kutaka na yeye ashobokewe ndo uliomfanya alete uzi huu[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
😀 umetisha miss...naomba uendelee na utafiti uniletee wenye pesa .. nashukuru
Samahani kakaMmmh, kwamba kwa vile napenda mpira naweza kupunguza mapendo kwa wife, I doubt. Mpenzi wa mpira anaangalia machi yoyote regardless, napenda arsenal lakini mechi za man u, man city, Liverpool, Chelsea zote naangalia.
Mpira una nafasi yake na mapendo kwa wife yana nafasi yake pia.
Mi natafuta hela tu,niwe na wwnaomba uendelee na utafiti uniletee wenye pesa .. nashukuru
Mmmh, kwamba kwa vile napenda mpira naweza kupunguza mapendo kwa wife, I doubt. Mpenzi wa mpira anaangalia machi yoyote regardless, napenda arsenal lakini mechi za man u, man city, Liverpool, Chelsea zote naangalia.
Mpira una nafasi yake na mapendo kwa wife yana nafasi yake pia.
Haha tunashukuru kuwa aliwahi kurudi
Umependeza jamaniiWE WASEMA
Heaven Sent muandika essay mwenyewe alisurrender, alisema atamjibu baadae lakini hadi leo hajajibu. Hapana chezea my dear.
Hahaha bado natafuta madesa, yakikamilika ntamjibu
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] hatareeeeKushobokewa humu kwa mada aliyoleta sio rahisi, cha msingi ajipange upya tu, tena aweke lengo la kipuuzi la kuivua bikini ya yule miss mpenda pesa.
Ndo ujue Umependeza sasaaasio mimi! mie mzee nw!tetete!
Sijawahi kusikia, muulize ligi gani ipo?Samahani kaka
Eti kuna timu iko na jina ka user name yangu???
Kwa hiyo jamaa anapenda boli hadi kusahau "kukutendea haki"?[emoji12]WE WASEMA
MmmmhSijawahi kusikia, muulize ligi gani ipo?