G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Misosi mitungi na pamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misosi mitungi na pamba
wanauza mbunye zaidiHivi hawa wa kike kama kina uwoya mbona wana maisha mazuri kuliko midume
Elf 10 ni kila "SCENE" siyo "EPISODE"... Kwenye EPISODE moja kuna SCENE anuwai..Asa kama tamthilia ya Maneno ya kuambiwa,ipo episode ya 84,kwa haraka haraka mtu kama afande killer ameshiriki zote mpaka hii ya 84,
Ana jumla ya laki name na elfu arobaini yaani kila episode ni elfu kumi
Sent using Jamii Forums mobile app
NdioUnamaanisha shilingi elfu moja!!
Kifupi wasanii wengi wanaishi maisha ya kuigiza...wengi wao ni choka mbaya kuliko mbaya yenyewe...hao kina uwoya na wenginei unaoona wanaishi kitajiri..wanakuwa wanafadhiliwa na wenye madanga yao..wakishashughulikiwa usiku kucha wanaachwa..Hivi hawa wa kike kama kina uwoya mbona wana maisha mazuri kuliko midume
Wema huyu wa sasa hata laki sitoi, yule wa enzi zile sawaKifupi wasanii wengi wanaishi maisha ya kuigiza...wengi wao ni choka mbaya kuliko mbaya yenyewe...hao kina uwoya na wenginei unaoona wanaishi kitajiri..wanakuwa wanafadhiliwa na wenye madanga yao..wakishashughulikiwa usiku kucha wanaachwa..
Mfano Mdogo..wema kulala naye kwa usiku mmoja ni milioni 1, na anataka uumepeleke sehemu zenye kujikwatua..akifija huko maselfee kibao plus mambo ya kuuza sura..kesho anapost Instagram kuwa maisha yake mazuri
Ohh..sawa..ila wadau wanatoa mzee
Ngoja waje.Nani anajua waigizaji wetu kwenye Bongo Movies wanalipwa kiasi gani kwa kuigiza kwenye Filamu na ni nani ndiye anayeongoza kwa kulipwa hela nyingi?
Umaarufu wa watu wa Bonge Movies unatokana na kulipwa kwao ama kunatokana na jinsi wanavyoigiza!?
bunduki inatumika kuanzia mwanzo wa movie hadi mwisho bila hata kubadilisha magzn,HV hizo risasi haziishiNiliangalia series ya wa bongo movie youtube. Kwa zilivyo unaweza ukajua kiasi wanacholipwa. Tamthilia na movies zao hazina hata sponsors muigizaji ana vaa nguo moja katika kila movie na kila episode 😂 mimi nadhani wanalipwa kuanzia 10,000-20,000 kwa pesa ya tz kwa sababu wanatumia pesa zao wenyewe kutengeneza movies na sio sponsors. Kwa ufupi kuwa muigizaji bongo ni kupoteza muda tu 😂
Huyo watu wanamtafuna mpka kwa kilo 3 plus mkopoKifupi wasanii wengi wanaishi maisha ya kuigiza...wengi wao ni choka mbaya kuliko mbaya yenyewe...hao kina uwoya na wenginei unaoona wanaishi kitajiri..wanakuwa wanafadhiliwa na wenye madanga yao..wakishashughulikiwa usiku kucha wanaachwa..
Mfano Mdogo..wema kulala naye kwa usiku mmoja ni milioni 1, na anataka uumepeleke sehemu zenye kujikwatua..akifija huko maselfee kibao plus mambo ya kuuza sura..kesho anapost Instagram kuwa maisha yake mazuri
Akifanya movies 5 kwa mwaka, anakula 10M... si haba hasa ukizingatia kitaa kuna watu na madigrii yao lakini kwa mwaka hawaingizi hata 500K!
Bad enough mauzo ya hiyo movie hayazidi hata laki 9,biashara kichaa!!
Bad enough mauzo ya hiyo movie hayazidi hata laki 9,biashara kichaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app