The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Pinto kafata taratibu za kiislam ambapo kabla marehemu hajazikwa ..anatakiwa mtu asimame na kuuliza Nani anamdai marehemu na nani anadaiwa na marehemu...
Le mutuz alikuwa na mikataba na DStv,Asas na kampuni zingine na kampuni yake alioajiri watu watano ...
Lazima kama kuna sintofaham ya Mali zake iwekwe wazi kabla hajazikwa
Le mutuz alikuwa na mikataba na DStv,Asas na kampuni zingine na kampuni yake alioajiri watu watano ...
Lazima kama kuna sintofaham ya Mali zake iwekwe wazi kabla hajazikwa